• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAANZA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA SERIKALI LA UJENZI WA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

Posted on: December 28th, 2020

MKURUGENZI wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, amefanya ziara akiambatana na Wajumbe wa CMT katika kukagua eneo la Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari inayotarajiwa kujengwa katika Kata ya Boma ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo yaliyotolewa na Serikali kupitia maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa.

Akizungumza juu ya Ujenzi wa shule hiyo, Lukuba, amesema kimsingi Ujenzi wa Sekondari hiyo unakwenda kupunguza changamoto ya Wanafunzi kusafiri umbali mrefu wa kwenda na kurudi shuleni.

Lukuba, amesema mafanikio ya mradi huo yapo kwenye mikono ya Wananchi na iwapo mradi huo utakwama nao utakuwa umewakwamisha.

"Tumetafuta eneo hili kutokana na maelekezo ya Serikali ya kila Halmashauri kuwa na Shule mpya ya Sekondari, tumeona tukimbie kwa kasi ya ajabu tuhakikishe agizo hili tunalianza mapema iwezekanavyo,jambo hili litakapoanza litakuwa shirikishi , hivyo ni vema tukaanza pamoja na kumaliza pamoja niwaombe Wananchi tuendelee kuhamasishana katika ujenzi wa madarasa ili watoto wetu waliofaulu waweze kuingia darasani" Amesema Lukuba.

Manispaa ya Morogoro katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu 2020 , imefaulisha jumla ya wanafunzi 7577 ambapo kati ya hao wasichana 3927, wavulana 3650 sawa na asilimia 90.22% ya wanafunzi wote waliofaulu.

Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA MOROGORO YAANZA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA SERIKALI LA UJENZI WA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

    December 28, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWAKUMBUKA YATIMA KUELEKEA SIKUKUU YA CHRISTMAS

    December 23, 2020
  • MGANGA MKUU MANISPAA MOROGORO AWAONYA WAMILIKI WA ZAHANATI ZISIZO ZINGATIA SHERIA

    December 22, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWATAKA WATENDAJI KATA KUHAKIKISHA MABOMA YA MADARASA YANAKAMILIKA KWA WAKATI ILI WANAFUNZI WALIOFAULU WAINGIE DARASANI

    December 21, 2020
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa