• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWATAKA WATENDAJI KATA KUHAKIKISHA MABOMA YA MADARASA YANAKAMILIKA KWA WAKATI ILI WANAFUNZI WALIOFAULU WAINGIE DARASANI

Posted on: December 21st, 2020

MKURUGENZI wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, amewatakaWatendaji wa Kata kuhakikisha wanasimamia kikamilifu ukamilishwaji wa Mabomayote ya Shule ikiwemo Msingi na Sekondari ili wanafunzi waliofaulu waingiedarasani.

Kaulihiyo, ameitoa leo Desemba 21,2020 katika Shule ya Sekondari Kihonda  ,wakati wa ziara ya kukagua Maboma yanayotakiwa kukamilishwa kwa ajili yakuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza waliofaulu.


Akizungumza na Waandishi wa habari, Lukuba, amesema kuwa huu sio wakati wakuangalia pesa imeingia katika akaunti ya Kata au ya Shule kikubwa ni kasi yaujenzi iongezwe ili madarasa yakamilike kwa wakati na Wanafunzi wasome wakiwawamekaa katika madawati bila msongamano.

Lukuba,katika ziara hiyo amewasisitizia mafundi kwenda na kasi kubwa ili wanafunziwaanze kuyatumia madarasa hayo katika kupunguza msongamano darasani. 

‘’ifikewakati sisi jamii ndio tuwe wa kwanza kuanzisha miradi kisha ndio serikaliiwekeze nguvu zake, nimekuja kuona maagizo ya Waziri Mkuu yanatekelezwaje, lakini nitoe rai kwa Watendaji wote wa Kata kwa kushirikianana , Watendaji wa Mitaa, kuwahimiza Wazazi na Wananchi kuongeza kasi yauhamasishaji katika kufanikisha ujenzi wa Maboma , agizo hili ni la Serikalitunatakiwa kulifanyia kazi kwa haraka, Baada ya tamko la Mhe. Rais la elimubure bila malipo Wazazi wamehamasika na kuwa na mwamko wa kusomeshaWatoto  na Watoto wamefaulu hivyo ni wajibu wetu kuona Watoto hawa wotewaliofaulu ifikapo Januari 11/ 2021 wanaingia darasani , wanafunzi wetu wanauhaba wa madarasa hatutaki mrundikano, tunataka yakamilike wanafunzi wasomekatika mazingira ya kuachiana nafasi ili kuongeza kasi ya ufaulu, ukiwa katikamazingira mabaya hata ile hali ya ufundishaji inashuka, kazi nimeionainaendelea lakini ongezeni kasi tumalize kazi mapema" Amesema Lukuba.

Lukuba, amesema kuwa Jamii inaposhiriki ipasavyo kwa vitendo katika ujenzi wamiundo mbinu ya elimu huwa chachu ya kupata kilicho bora kabisa maana jamiihuwa na uchungu nacho kutokana kuwekeza nguvu zao na huwa walinziwakubwa. 


Mwisho ametoa wito kwa wananchi wote wa Manispaa ya Morogoro kuwa tayarikujitolea kwa hiari katika miradi ya maendeleo hususani katika Ujenzi wa Mabomaya Madarasa.

Shuleya Sekondari Kihonda ni miongoni mwa Shule iliyoingiziwa Shilingi Milioni 80,ambapo milioni 20 ni kwa ajili ya umaliziaji wa maboma 3 na shilingi milioni 60kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa mapya 3 kwani inategemea kupokea jumla yawanafunzi wa kidato cha kwanza  700.

 

Ikumbukwekuwa Jumla ya Wanafunzi waliofanya mtihani Darasa la saba ni 8401, Wasichana4336, Wavulana 4062 ambapo katika idadi hiyo jumla ya Wanafunzi 7577 walifaulumitihani miongoni mwao wasichana 3927, wavulana 3650 sawa na asilimia 90.22% yawanafunzi wote waliofaulu.

Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA YA MOROGORO YAANZA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA SERIKALI LA UJENZI WA SHULE MPYA ZA SEKONDARI

    December 28, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWAKUMBUKA YATIMA KUELEKEA SIKUKUU YA CHRISTMAS

    December 23, 2020
  • MGANGA MKUU MANISPAA MOROGORO AWAONYA WAMILIKI WA ZAHANATI ZISIZO ZINGATIA SHERIA

    December 22, 2020
  • MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO AWATAKA WATENDAJI KATA KUHAKIKISHA MABOMA YA MADARASA YANAKAMILIKA KWA WAKATI ILI WANAFUNZI WALIOFAULU WAINGIE DARASANI

    December 21, 2020
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa