• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Maji

 Majukumu ya Idara ya maji

1. Kuratibu shughuli zote za Usanifu na Ujenzi wa Miradi mipya ya Maji Wilayani

2. Kuratibu shughuli zote za Uendeshaji na Matengenezo ya Miradi ya Maji Wilayani.

3. Kuratibu shughuli zote za Uanzishwaji wa vyombo vya Watumiaji Maji Wilayani.

4.Kushirikiana na Idara ya Mipango kuandaa Mpango na bajeti ya Idara ya Maji katika Halmashauri

5.Kusimamia Utekelezaji wa Mpango na bajeti ya Idara ya Maji katika Halmashauri

6. Kuandaa Taarifa mbalimbali za Idara ya Maji pindi zinapohitajika.

7. Kuandaa Mpango Mkakati wa Idara ya Maji(Strategic Plan)

8. Kukusanya, kuchambua na kutafsiri takwimu za hali halisi ya Upatikanaji wa Maji Wilayani.

 Idara hii ina  jumla ya vitengo  vikuu vitatu  ambavyo ni :-

  • Kitengo cha mipango na  usanifu wa miundo mbinu ya maji.
  • Kitengo cha Ujenzi wa Miradi ya Maji.
  • Kitengo cha ukarabati na matengenezo ya miundo mbinu ya maji.

Kupitia vitengo hivi Idara imeendelea kuhakikisha kuwa wakazi wa Halmashauri wanapata huduma ya maji , pia kuhakikisha kuwa wakazi wa maeneo ya pembezoni wanapata huduma ya maji kwa kusimamia na kubuni miradi mbalimbali ya maji.

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI

Idara kwa kushirikiana na wananchi, Idara imeendelea kuhakikisha kuwa miradi mbalimbali katika maeneo ya pembezoni inabuniwa, kusanifiwa na kutekelezwa ili kuwapatia wakazi wa Manispaa huduma ya maji, na pia kuhakikisha kuwa miradi ambayo haitoi maji inakarabatiwa ili iweze kuendelea kutoa huduma ya maji kwa wakazi wote.

Miradi iliyotekelezwa katita kipindi kilicho pita ni Mradi wa maji wa mtaa wa Kasanga kata ya Mindu, Kiegea B Kata ya Mkundi na Misongeni, Tanki la Maji, Bomba la Zambia iliyopo kata za Bigwa na Kingolwira,




 

 

 


 

 

 

Matangazo

  • HERI YA SIKUKUU ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA WA 2021 December 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTAKA KUPANGA VIOSKI MANISPAA YA MOROGORO March 25, 2020
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MANISPAA MOROGORO YAIBUKA KINARA WA LISHE MKOA WA MOROGORO

    February 05, 2021
  • WANANCHI WATAKIWA KUENDELEA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA MADARASA

    January 28, 2021
  • WAITARA ARIDHISHWA NA USAFI MANISPAA YA MOROGORO, ATAKA KASI IONGEZWE KATIKA UPATIKANAJI WA DAMPO LA KISASA

    January 25, 2021
  • MEYA KIHANGA AWACHARUKIA WAALIMU WAKUU, AWATAKA WAJITATHIMINI

    January 19, 2021
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa