• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

BODA BODA WAPONGEZA JUHUDI ZINAZOFANYWA NA MANISPAA YA MOROGORO JUU YA UTOAJI WA ELIMU YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA CORONA

Posted on: March 20th, 2020

WAENDESHA Boda boda Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro wameipongeza Manispaa ya Morogoro kupitia Idara ya Afya kwa jitihada za kuhamasisha na kutoa elimu juu ya kujikinga na Ugonjwa wa CORONA.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti, wamesema tangia Serikali itangaze kuwepo kwa muathirika hapa nchini wamekuwa wakipewa elimu mara kwa mara jambo linalowafanya wazidi kuwa na amani na kuchukua tahadhari za mara kwa mara za kujikinga na Ugonjwa wa Corona.


Akizungumza kwa niaba ya Bodaboda wote, Katibu wa Bodaboda Mkoa wa Morogoro, Ndg. Juma Bega, amesema kitendo cha Manispaa kutenga muda wa kutembelea makundi maaalumu kama haya ya Vijana wao ni jambo jema na kuonyesha kwamba Serikali inawathamini Bodaboda na kuona kazi hiyo ni kama kazi nyengine zinazowaingizia vipato.


"Kwa kweli nichukue nafasi hii kwa niaba ya Uongozi wa Bodaboda Mkoa wa Morogoro, tunaipongeza sana Manispaa ya Morogoro hususani idara ya Afya chini ya ndugu yangu , Dr Ikaji Rashidi kwa kugawa maeneo ya kutolea elimu chini ya Wataalamu wake , hali hii imeonyesha upendo wa dhati na kuona sasa kundi hili linatambulika sana na kuweza kuokoa hata maisha ya Vijana wetu kwa kuwapatia Elimu hii ya kujikinga na Ugonjwa wa Corona, nampongeza sana Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mama yangu Regina Chonjo pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro dada yangu Sheilla Lukuba kwa kuchukua hatua madhubuti kabisa na kuunga mkono kauli ya Mhe. Rais wetu Dkt. John Pombe Magufuli ya kutoa elimu na kuweka tahadahri kubwa katika nchi yetu ili kujikinga na Ugonjwa wa Corona" Amesema Bega.


Aidha , amewataka Bodaboda wote Mkoa wa Morogoro kuuchukilia Ugonjwa huo kwa umakini mkubwa na kuweka tahadhari za kujikinga wao na familia zao pamoja na abiria wanaowapakia kwa kunyunyiza dawa kwenye viti , mikono ya kushikia wakati wanaendesha pamoja na kupuliza dawa kwenye kofia zao na za abiria (elementi).

Kwa upande wa Mratibu wa Malaria na Magonjwa ya Watoto wenye umri chini ya miaka 5, Dr. Nicholaus Ntabaye akizungumza kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Manispaa ya Morogoro, amesema kila Boda boda ni lazima ahakikishe chombo chake kabla ya kukitumia anakipulizia dawa ikiwamo viti, sehemu za kushikia mikono pamoja na kofia zao (elementi) ili kujikinga na Ugonjwa wa Corona.


"Nitoe wito kwa boda boda wote niwaombe msipuuzie haya maelekezo tumewafuata mlipo lengo letu ni kuwa karibu na wananchi wetu na kuangalia usalama wenu, zingatieni maelekezo ya wataalamu wanayowaambia huu ugonjwa sio mzuri hata kidogo wenzetu Mataifa ya nje wanateketea, tuwe makini sana na vyombo vyetu mara kwa mara tuviweke katika mazingira rafiki katika kujikinga na ugonjwa huu" Amesema Dr. Ntabaye.





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa