• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC CHONJO ATHIBITISHA KUINGIA KWA TANI 90 ZA SUKARI MOROGORO

Posted on: May 11th, 2020

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo, amethibitisha kuingia kwa Sukari tani 90 kufuatia kupanda kwa bei ya sukari katika Wialaya ya Morogoro.


Hayo ameyazungumza leo Mei 11, 2020 Ofisini kwake katika kikao cha waandishi wa habari juu ya suala la kupanda kwa bei ya Sukari katika Wilaya ya Morogoro.


Akizungumza na Waandishi wa habari, DC Chonjo, amesema suala la Sukari limekuwa changamoto sana na sio Wilaya ya Morogoro hata Mkoa Mzima wa Morogoro sukari imekuwa tatizo.


Chonjo, amesema kupanda kwa sukari kumetokana na baadhi ya wafanyabiashara kuuza bei ya Sukari kinyume na bei elekezi ya Sukari iliyotolewa kupitia Bodo ya Sukari Tanzania.

Amesema kuwa anaishukuru Serikali kwa kushusha tani 90 kwa wafanyabiashara wakubwa ambapo wafanyabaishara hao wataisambaza sukari hiyo kwa wafanyabaishara wa nusu jumla kwa kufuata utaratibu ambao Serikali imeuweka.

“Upatikanaji wa Sukari hapa Wilaya ya Morogoro umekuwa changamoto kidogo, lakini sio Wilaya ya Morogoro tu na mkoa mazima pia , niishukuru Serikali ya Jamhuri hii ya awamu ya inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwa sikivu imeendela kutoa vibali ili tuweze kuagiza Sukari kutoka nje, na leo tumepokea Sukari tani 90 ambapo mgao wake utatolewa kwa wafanyabiashara wa jumla “ Amesema DC Chonjo.


Aidha amesema miongoni mwa wafanyabiashara wajumla ambao wamegawia Sukari hiyo kwa ajili ya kusambaza,ni pamoja na Sadiki amepata tani 30, Binzoo tani 30na Digamba tani 30.

Amesema Sukari hiyo itagaiwa kwa Mkoa mzima wa Morogoro na sio kwa Wilaya ya Morogoro peke yake

Amesema katika ugawaji huo kutokana na magari makubwa hayaruhusiwi kuingia mjini, hivyo ugawaji wake utafanyika maeneo ya maegesho ya magari Nane nane kwa kuwakabidhi wafanyabishara wa jumla tu ambapo baada ya hapo wale wajumla watasambaza kwa wafanyabiashara wa nusu jumla kwenye maduka yao ili kuepusha msongamano wa watu hususani katika kipindi hiki cha mapambano dhid ya Ugonjwa wa CORONA.

Kuhusu bei elekezi, Chonjo, amesema kwa wafanyabiashara wa jumla watatakiwa kuuza sukari hiyo kwa mfuko mmoja wa Kilo 50 kwa shilingi 127,000/= , kwa wale wanusu jumla watauza kwa shilingi 128,000/=na wale wa wafanyabiashara wa reja reja watatakiuwa kuuza kilo moja kwa shilingi 2,700/= kama bei elekezi inavyotaka.

Amesema wale watakao kiuka bei elekezi watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwamo kuwapa kesi ya uhujumu uchumi kwa kutakataa na kukiuka maagizo ya Serikali.

Mwisho amewaomba Wananchi wa Wilaya ya Morogoro kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mpito kwani suala la sukari litamalizika na kila mwananchi atanufaika na huduma hiyo na kurudi kama zamani kwani hata sukari iliyoletwa haiwezi kukidhi kwa maeneo yote hivyo wanatarajia kupokea tani nyeninge za siukari kutoka Serikalini.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa