• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC NSEMWA ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA MKUNDI NA KUZIJIBU

Posted on: February 16th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, mheshimiwa Rebecca Nsemwa akiwa ameambata na Kamati ya Usalama ya Wilaya hiyo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, na baadhi ya wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa, MORUWASA, na TARURA, amefanya mkutano wa hadhara na wananchi wa kata ya Mkundi, kwenye mtaa wa Mgulu wa Ndege kwa lengo la kusikiliza kero zao na kuzijibu.

Alipokuwa akizungumza kwenye mkutano huo tarehe 15.02.2024, mheshimiwa Nsemwa amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) kwa kuacha kushikana mikono, na kuhakikisha wananawa mikono mara kwa mara, kwa maji tiririka.

Pia, amewataka wananchi watambue kwamba ugonjwa wa kipindupindu umo ndani ya Manispaa hivyo  waendelee kufuata maelekezo ya maafisa afya wanaopita kwenye mitaa yao na kutoa elimu ya kujikinga na ugonjwa huo.

Kwa upande wa wafanya biashara za vyakula, amewataka wafanye biashara hizo kwa kuzingatia utaratibu wanaoelekezwa na maafisa afya na kwamba ambaye hatafuata utaratibu basi biashara yake itafungwa.

Aidha, mhehsimiwa Nsemwa amewataka wazazi ambao watoto zao walifaulu kuingia kidato cha kwanza mwaka huu, lakini mpaka sasa hawajawapeleka shule huenda kwa sababu wazazi wameshindwa kuwapatia mahitaji kama vile sare za shule,wahakikishe wanawapeleka shuleni watoto hao kwani Rais Samia anajitahidi sana kujenga shule na vyumba vya madarasa, na hakuna mtoto ambaye atafukuzwa shule kwa sababu ya kutokuwa na sare.

Mwisho, mheshimiwa Nsemwa amewataka wazazi kushirikiana na walimu katika malezi ya watoto wao ili kuwalinda na kuepuka matendo mabaya  dhidi ya watoto kama vile ukatili wa kijinsia  na unyanyasaji .

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa