• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DIWANI KATA YA MZINGA AWAPONGEZA WANANCHI KUSHIRIKI UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI

Posted on: November 23rd, 2021

DIWANI wa Kata ya Mzinga, Mhe. Salumu Chunga, amewapongeza Wananchi wa Kata ya Mzinga kwa kujitoa kwao katika kufanikisha zoezi la kuanza ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari.

Pongezi hizo, amezitoa Novemba 22/2021, katika zoezi la kuangusha miti mikubwa na vichaka katika eneo linalotarajiwa kujengwa shule hiyo.

Mhe. Chunga, amesema ujenzi wa shule hiyo mpya ya Sekondari itapunguza changamoto katika Sekta ya Elimu kwenye Kata hiyo.

Aidha, Mhe. Chunga, amesema kuwa ushirikiano uliooneshwa na wananchi wa Kata hiyo katika ujenzi wa shule ya Msingi Konga ndio ushiriikiano unaotakiwa kufanyika katika ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari kwani uwepo wa shule hiyo ya Sekondari katika Kata hiyo utaleta manufaa katika jamii na kufanya Wanafunzi wasome karibu na nyumbani na kuacha kusafiri umbali mrefu.

Hata hivyo, Mhe. Chunga, amewashukuru wananchi kwa kujitoa kwaajili ya maandalizi ya ujenzi huo kuwaahidi kuwa ataendelea kuwashirikisha wadau wengine watakaosaidia kuongeza nguvu kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa Shule hiyo.

"Tunaamini mradi huu utakapokamilika utatatua changamoto zilizopo katika Sekta ya Elimu katika Kata yetu ya Mzinga, na kufanya wanafunzi kupata Elimu kwa urahisi kwani kwasasa hutembea umbali mrefu kwenda shuleni, ujenzi wetu tutaanza na vyumba 3 vya madarasa kwa nguvu za Wananchi kisha tutaendelea na ujenzi kadri tutakapojaliwa nguvu ili kufanikisha ndoto ya kuwa na Shule yetu ya Kata "Amesema Mhe. Chunga.

Mwisho, Mhe. Chunga, kuwa moja ya tatizo la watoto wao kushindwa kufanya vizuri kitaaluma ni umbali wa shule ambazo wanasoma hivyo amewaomba Wananchi kuongeza nguvu pamoja na Serikali li kuepukana na changamoto hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa