• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DIWANI LUJUO MBIONI KUMALIZIA UKARABATI UJENZI KITUO CHA POLISI KATA YA BOMA.

Posted on: March 4th, 2023

DIWANI wa Kata ya Boma Manispaa ya Morogoro, Mhe. Athumani Lujuo, amesema anatarajia kumalizia ukarabati wa Kituo cha Polisi Kata ya Boma kwa lengo la kuimarisha ulinzi katika Kata hiyo.

Kauli hiyo, ameitoa leo Machi 03/2023 kupitia njia ya simu wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo Kata ya Boma imeadhimisha leo kwa kufanya usafi katika eneo la Ofisi ya Kata, eneo la shule mpya ya Sekondari ya Ghorofa pamoja na eneo la Ofisi ya Kituo cha Polisi Kata.

Mhe. Lujuo, amesema lengo la ukarabati huo ni kuhakikisha kuwa Kata hiyo inakuwa na Kituo cha Polisi ngazi ya Kata kwa ajili ya kuimarisha hali ya ulinzi kwa wananchi wa Kata yake.

" Kituo hiki hakijatumika zaidi ya miaka 5 sasa, hata jengo lake lilikuwa chakavu sana na ni finyu, ukarabati ambao ninaendelea kuufanya ni pamoja na kupanua miundombinu ya vyumba vya Ofisi , ulinzi ni jambo la Msingi, Polisi Kata wetu hana makazi maalumu ya kufanya shughuli zake, nimeona nifanye ukarabati huu kisha nimkabidhi Ofisi yake kwa ajili ya kuendelea na utekekelezaji wa majukumu yake" Amesema Lujuo.

Ukarabati unaofanyika kwa sasa ni upanuzi wa Jengo kwa kuongeza vyumba vya Ofisi, upauaji, uezekaji pamoja na uingizaji wa vitu vya samani.

Aidha, amesema mara baada ya Kituo hicho kukamilika na kufanya kazi, atakabidhi Pikipiki 1 kituo hicho kwa ajili ya kurahisisha utendaji kazi.

Naye, Polisi Kata ya Boma, Inspekta.Pendo Meshurie, amempongeza Diwani huyo kwa kuwajengea Ofisi.

"Tunampongeza sana Mhe. Diwani kwa kutujali , bado makazi yetu sio rasmi tunafanya kazi katika Ofisi ya Kata hivyo tunaamini ujenzi huo utatusaidia sisi kufanya kazi zetu vizuri kwa ufanisi, tunamshukuru , kikubwa tunamuahidi kuendelea kusimamia hali ya ulinzi na usalama, Kata yetu ipo shwari , kikubwa wananchi pia waendelee kutupa ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yetu, jukumu la ulinzi sio la Polisi tu bali ni wananchi wote" Amesema Inspekta Meshurie.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa