• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DIWANI MBILINYI AGAWA KADI 54 ZA BIMA ZA AFYA CHF KWA WAZEE KATA YA LUKOBE.

Posted on: January 21st, 2025

DIWANI wa Kata ya Lukobe, Mhe. Selestine Mbilinyi, amewezesha wazee 54 Bima za afya kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii(CHF) iliyoboreshwa ambapo lengo lake ni kuona wazee wanaendelea kupata huduma za afya bure.

Kadi hizo amezitoa Januari 21-2025 katika Ukumbi wa JS ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa katika sherehe za Baraza la Wazee la Kata ya Lukobe iliyofanyika hivi karibuni Januari 2025.

Akizungumza mara baada ya kugawa Bima hizo, Mh.Mbilinyi amesema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa lengo la kutimiza ahadi ikiwa ni pamoja na kutekeleza ilani ya chama cha Mapinduzi CCM.

“Hii ni awamu ya pili kugawa bima hizi, wazee wetu wametumikia sana hii nchi,malipo ni kuwahakikishia wanapata huduma stahiki ikiwemo hii ya huduma bure ya afya" Amesema Mh. Mbilinyi.

Aidha, Mbilinyi amesema hii ni awamu ya pili kugawa bima hizo kwa Wazee katika kipindi chake cha miaka 5 tangia achaguliwe kuwa Diwani wa Kata ya Lukobe 2020.

Mwisho, Mhe. Mbilinyi amewataka wananchi wa Kata ya Lukobe kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii ili kupata matibabu bure kwani ugonjwa hauna hodi.

Kwa upande wa Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Lukobe, Gassara Zongo, amesema kitendo cha Mh.Mbilinyi kugawa kadi hizo kinawafanya wazee sasa kupata huduma bure na fedha zao ambazo wangetumia katika huduma za afya wanazielekeza kwenye matumizi mengine.



Naye , Katibu wa Baraza la Wazee ,Dr. Bakili Anga, amempongeza Mh. Mbilinyi huku akiwaomba Madiwani wengine pamoja na wadau wa maendeleo kuiga mfano huo ili kuwasaidia wazee katika kuboresha huduma za afya kwa kuwapatia bima za Afya pamoja na mahitaji mengine.



Kwa upande wa Wazee ambao ni wanufaika na bima hizo, Bi. Jamila Murro, akiwawakilisha wazee wenzake wameshukuru jitihada za Diwani Mbilinyi kwa kuwawezesha kujiunga na mifuko ya Bima ya Afya huku wakiwasii viongozi wengine kuiga mfano huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • BALOZI BATILDA ATAKA MAONI YA WADAU KUFANYIWA KAZI KUELEKEA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MSHARIKI 2025

    May 06, 2025
  • MAAFISA ARDHI WATAKAOBAINIKA NI VYANZO VYA MIGOGORO YA ARDHI TUTAWAFIKISHA MAHAKAMANI-DKT.NDUMBARO.

    May 05, 2025
  • WAAJIRI SEKTA BINAFSI RUHUSUNI WATUMISHI WENU KUJIUNGA NA CHAMA CHA WAFANYAKAZI - RC MALIMA.

    May 01, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa