• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

. KAMATI NDOGO YA MAZINGIRA MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MITARO YAKUPITISHA MAJI KWENYE MIRADI YA TACTIC.

Posted on: January 20th, 2025

KAMATI ndogo ya Mazingira Manispaa ya Morogoro imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi na uboreshaji wa mitaro ya kupitisha maji machafu kwenye miradi ya Uboreshaji Miji (TACTIC) inayotekelezwa na Manispaa ya Morogoro kupitia ufadhili wa fedha kutoka Benki Kuu ya Dunia.



Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye ni Diwani wa Kata ya Uwanja wa Taifa, Mhe. Rashid Matesa, Januari 20-2025 imefanya ziara na kukagua baadhi ya makaravati pamoja na mifereji inayopitisha maji machafu kwenye miradi ya TACTIC ikiwemo ujenzi wa barabara ya Kihonda Yespa na barabara inayoingia Stendi ya kisasa eneo la Stesheni ya SGR.



Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Matesa, amesema kamati hiyo imeridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo pamoja na ujenzi wa makaravati ,huku wakiutaka uongozi wa Manispaa ya Morogoro kuendelea kusimamia miundombinu hiyo ili makaravati na mifereji inayotengenezwa isiweze kuleta athari za kimazingira kwa Jamii iliyopitiwa na mifereji hiyo.



Manispaa ya Morogoro ni moja ya Halmashauri ambayo inatekeleza miradi ya TACTIC ikiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya miji na kuimarisha utoaji wa huduma kwa jamii.

Manispaa ya Morogoro imepokea Bilioni 19, 606,559.46 kutoka Serikali Kuu kutekeleza miradi ya TACTIC.

Miongoni mwa miradi ya TACTIC ni Ujenzi wa Barabara ya Muhimbili, Tubuyu II, Mjimwema, Barakuda, Kihonda-VETA na Ujenzi wa mifereji ya maji (ANT Mlaria na Kikundi).

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • BALOZI BATILDA ATAKA MAONI YA WADAU KUFANYIWA KAZI KUELEKEA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MSHARIKI 2025

    May 06, 2025
  • MAAFISA ARDHI WATAKAOBAINIKA NI VYANZO VYA MIGOGORO YA ARDHI TUTAWAFIKISHA MAHAKAMANI-DKT.NDUMBARO.

    May 05, 2025
  • WAAJIRI SEKTA BINAFSI RUHUSUNI WATUMISHI WENU KUJIUNGA NA CHAMA CHA WAFANYAKAZI - RC MALIMA.

    May 01, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa