• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI YA FEDHA MANISPAA YA MOROGORO YAPONGEZA KASI YA UJENZI WA ZAHANATI UNAOENDELEA

Posted on: November 15th, 2021

KAMATI ya Fedha Manispaa ya Morogoro imepongeza kasi ya ujenzi wa Zahanati unaofanywa na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ambapo mpaka sasa Halmashauri ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha Zahanati 5 kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri .

Pongezi hiyo imetolewa leo mara baada ya kumalizika kwa ziara ya Kamati ya Fedha ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo ikiwamo ujenzi wa Madarasa mapya yanayojengwa kupitia mpango wa UVICO-19.

Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati ya Fedha, Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro na Diwani wa Kata ya Mazimbu , Mhe. Pascal Kihanga, amesema kuwa Manispaa ya Morogoro kitendo cha kukamilisha Zahanati hizo kutapelekea kusogeza karibu huduma za afya kwa Jamii.

“Uongozi unaweza kufanya mabadiliko makubwa sana. Menejimenti mnaongea lugha moja hicho ni kitu kizuri sana na ndio maana kwa pamoja mnaweza kutekeleza haya yote, niwapongeze Manispaa kwa kushirikiana na Madiwani kwa maono yenu, ni muda mrefu sasa Manispaa haijawahi kukamilisha miradi ya namna hii nawapongeza sana timu ya Menejimenti mkiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa kipindi cha miaka 5 iliyopita na leo tulivyoona nimeona kuna mabadiliko makubwa sana niwapongeze sana" Amesema Kihanga.

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amesema kuwa Manispaa imejiwekea utaratibu wa kufanya vikao viwili kila wiki ambapo menejimenti hujadili taarifa za mapato katika vyanzo vyote zikiwemo hospitali vituo vya afya na Zahanati jambo ambalo Wakuu wa Idara hushiriki na kutoa mawazo juu ya jitihada za ukusanyaji mapato.

“Kwenye makusanyo huwa tunakusanya kwa asilimia kubwa, hii imepelekea Manispaa kuweza kupeleka fedha katika miradi ya afya na ndio maana kwa sasa tupo katika kukamilisha Zahanti 5 kabla ya kumaliza mwaka huu wa 2021 , Manispaa kupitia mapato ya ndani tutaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kadri tunavyozidi kupata makusanyo na kutenga fedha zitakazo sukuma miradi kwa ajili ya kuwahudumia Wananchi" Amesema Machela.

Aidha, Diwani wa Kata ya Mwembesongo ambaye ni Mjumbe wa Kamati hiyo, ameshauri kuwa ni vyema katika Zahanati hizo mara baada ya kukamilika kuweka uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti ya matunda kwenye bustani zinazozunguka maeneo ya Zahanati hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA MOROGORO May 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATOA NENO KUHUSU UTAPIAMLO.

    August 05, 2022
  • MANISPAA MORO YAOMBA USHIRIKIANO NA TIC KUTANGAZA MAENEO YAKE YA UWEKEZAJI

    August 03, 2022
  • MAONESHOYA NANENANE KANDA YA MASHARIKI YAANZA KWA KASI MKOA WA MOROGORO

    August 01, 2022
  • LUKWELE APITA KWA KISHINDO UCHAGUZI NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO

    July 20, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa