• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MAMA MAKINDA AWATAKA WATANZANIA WATAMBUE UMUHIMU WA SENSA

Posted on: September 2nd, 2021

KAMISAA wa Sensa , na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Anna Makinda, amewataka Watanzania watambue umuhimu wazoezi la Sensa na kuanza kujiandaa kwa kuhesabiwa kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.

Hayo ameyasema Septemba 01/2021 katika Mkutano wa Sensa ya Majaribio iliyofanyika Mtaa wa Mtawala Kata ya Mwembesongo Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari, Mhe. Makinda, amesema Sensa ya Majaribio ni moja ya mpango ambao Serikali imeuweka ili kuona jinsi Sensa ya itakaofanyika Mwaka 2022 itakavyoweza kufanyika na kufanikiwa huku akiwaomba watanzania watambue umuhimu wa zoezi hili kuanzia sasa na wajiandae kwa kuhesabiwa kwaajili ya maendeleo ya Taifa.

" Lengo la sensa ya watu na makazi ni kuiwezesha serikali na jamii kwa ujumla kuweka misingi ya kutunga sera ambazo zinatafanikisha maendeleo kwa Taifa na watu wake, hivyo ni vyema Wananchi wakalichukulia suala hili kwa uzito na umuhimu mkubwa , tunaamini Sensa ya Mwaka huu kuna mabadiliko makubwa yatatokea kikubwa ni ushirikiano wa Wananchi " Amesema Mama Makinda.

Mama Makinda amesema kuwa , mara baada ya kukamilika kwa sensa ya majaribio wanatarajia kukutana na wadau mbalimbali kwa ajili kujadili changamoto zilizojitokeza na kuboresha kwaajili ya sensa ya mwakani.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk. Albina Chuwa, amesema kuwa kutoka na na umuhimu wa sensa ya watu na makazi Ofisi yake imedhamiria kuboresha zoezi hilo la Sensa ya majaribio ili kuweza kurekebisha kasoro zinazoweza kujitokeza hapo baadae.

Dk. Chuwa ,amesema kuwa katika sensa ya majaribio jumla ya kaya 5000 zitahojiwa kwaajili ya kupata taarifa zao muhimu ambazo zitaingizwa katika kumbukumbu za  National Bureau of statistics (NBS).

Hata hivyo, Dk Chuwa, amesema kutokana na hali hiyo NBS itatoa mafunzo kwa watu wapatao 100,000 kwa ajili ya kukusanya taarifa kwa namna itakayo kidhi vigezo na mfumo thabiti wa mafunzo kwa watalaamu wake.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Albert Msando, amesema kwa kutambua umuhimu wa sensa serikali imejipanga kikamilifu ili kuhakikisha sensa ya watu na makazi inafanikiwa kwa ubora wa hali ya juu ili kwenda sambamba na mafanikio ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.

Naye Mstahiki Meya amesema kuwa akiwa kama mwakilishi wa Madiwani wa Manispaa ya Morogoro, atashirikiana vyema na wananchi na kutoa ushirikiano wa kuwezesha zoezi la Sensa linafanikiwa, tunatambua umuhimu wa Sensa kwani hata sisi katika Bajeti zetu tukiwa na takwimu sahihi itatusaidia kuweka vipaumbele vyetu kwa wananchi wetu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa