• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Public Relation
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAMPONGEZA RAIS KUPATA MGAO WA PIKIPIKI .

Posted on: March 24th, 2023

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imenunua pikipiki 916 kwa ajili ya watendaji kata nchini lengo likiwa ni kuboresha mazingira ya utendaji kazi kwa maofisa hao.

Katika pikipiki hizo, Manispaa ya Morogoro ni miongoni mwa Halmshauri ambayo imepata pikipiki 1 ambapo Uongozi wa Manispaa umetoa pongezi kwa Mhe. Rais na kuahidi kuitumia ipasavyo kwa lengo lililokusudiwa.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Pilly Kitwana, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kugawa pikipiki hiyo katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

"Tumepokea pikipiki 1 kutoka TAMISEMI, na kwa kuona changamoto ya umbali kwa watendaji wetu tumeikabidhi kwa Mtendaji wa Kata ya Mindu, ili kuboresha mazingira ya utendaji kazi katika utoaji wa huduma kwa wananchi,tunaomba waitunze na kuithamini kwa kutambua kuwa ni mali ya Umma" Amesema Kitwana.

Kwa upande wa Afisa Mtendaji Kata ya Mindu, Baraka Lemaha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mgao huo wa pikipiki na kuahidi kutumia pikipiki hiyo kwa matumizi mazuri ya kiofisi ili kutoa huduma bora kwa wananchi ili kuleta maendeleo.



Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ORODHA YA MADEREVA NA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA III WALIOITWA KUFANYA USAILI TAREHE 29/08-1/09/2022 August 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC NSEMWA AWATAKA WADAU WA SANAA KUCHANGAMKIA MKOPO WA ASIMILI 10 WA HALMSHAURI

    March 10, 2023
  • KATA YA SABASABA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE UHITAJI.

    March 07, 2023
  • MBUNGE MZERU AAHIDI MILIONI 1.5 KUTUNISHA MFUKO WA JUKWAA LA WANAWAKE KIHONDA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    March 07, 2023
  • DIWANI CHOMOKA KUJA NA MKAKATI WA KUVISAIDIA VIKUNDI KUPATA MASOKO.

    March 06, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa