• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MENEJIMENTI YA MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA MABANDA YA MACHINGA ENEO LA FIRE

Posted on: February 21st, 2022

MENEJIMENTI ya Manispaa ya Morogoro ikiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa, Ally Machela, imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa Mabanda ya wafanyabiashara ndogondogo (Machinga) katika eneo la Fire.

Akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo, Machela, amesema ujenzi wa mabanda hayo unaenda kwa kasi kubwa hivyo , ametaka kamati ya ujenzi kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati ili wafanyabiashara wafanye biashara kwa uhuru na katika eneo rafiki.

Machela ,amesema kuwa , Manispaa ya Morogoro kuna wafanyabiashara ndogondogo wengi hivyo kwa kutumia mapato ya ndani, Manispaa ya Morogoro itaendelea kuwalinda Machinga na kuwatafutia maeneo mbalimbali yaliyo rafiki ya kufanyia kazi.

"Manispaa yetu ya Morogoro kwa kushirikiana na Mkuu wetu wa Wilaya, Wabunge, Viongozi wa Siasa, wadau mbalimbali wa maendeleo, Wataalamu wa Manispaa, watendaji na wananchi tutaendelea kusimamia vyema wafanyabiashara wadogowadogo kuhakikisha wanafikia malengo kwani wao wana haki kama ilivyo watu wengine, hivyo Serikali imewatambua Kama kundi muhimu, kwahiyo wajibu wetu Viongozi kuwasimamia na kutatua changamoto zao" Amesema Machela.

Mwisho, amewataka Machinga kuendelea kuwasikiliza Viongozi wao kwani Serikali ipo bega kwa bega na wao kwa kutambua kundi hilo lina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa Taifa.

Manispaa imetekeleza ujenzi wa Mabanda hayo ambayo Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Albert Msando, amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kero za Wamamchinga zinataturiwa.

Ikumbukwe kuwa Ujenzi wa mabanda hayo 4, yatakayo tumia jumla ya shilingi Milioni 200 hadi kukamilika kwake na kuwa moja ya vyanzo vya mapato vya manispaa.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUFANYA USAHILI NAFASI ZA KAZI ZA MDA ZA ANWANI ZA MAKAZI March 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • RC SHIGELA AZINDUA UTOAJI WA CHANJO YA POLIO KWA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 MANISPAA YA MOROGORO

    May 19, 2022
  • KAMATI YA FEDHA MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 18, 2022
  • MANISPAA YA MOROGORO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 NA PHOTOKOPI MASHINE 2 SHULE 3 ZA SEKONDARI NA VITUO VYA TRC

    May 03, 2022
  • MANISPAA YA MOROGORO YAADHIMISHA SIKU YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa