• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MEYA KIHANGA ATOA KWA WATU WENYE UALBINO WALIOPATIWA MITAJI

Posted on: September 7th, 2022

MSTAHIKI Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amewataka wanufaika 19 waliopatiwa mitaji kwa watu wenye Ualbino Manispaa ya Morogoro kuhakikisha wanatumia mitaji hiyo kwa kutekeleza malengo waliyojiwekea.

Kauli hiyo,ameitoa, Septemba 6/2022 wakati wa hafla fupi ya utoaji wa ruzuku kwa watu wenye Ualbino kupitia ufadhili wa ADRA Tanzania katika Ukumbi wa Mbaraka Mwinshehe Manispaa ya Morogoro.

‘’ Ninawaomba sana mitaji hii mliyopewa mkaitumie kwa malengo mliyojiwekea,kuna baadhi ya watu wanatabia wanapopewa mitaji au mikopo hii hubadiri mawazo na malengo yao na kuamua kuzigawana fedha kwa matumizi binafsi,kumbukeni wafadhili wetu wametoa matarajio yao ni kuona fedha hizi zinazaa matunda, lakini niwaombe mkajiunge vikundi Manispaa inatoa asilimia 10 ya makusanyo ya mapato ya ndani ya kila mwezi ili kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi, na njia nzuri ya ilionekana kupitia vikundi , Imani yangu mtafanya vizuri kwa kuwa tayari nimesikia mshapata mafuzo juu ya biashara zenu” Amesema Mhe. Kihanga.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa ADRA Tanzania, Sam Oyortey, amesema bado kuna kundi kubwa la watu wenye ulemavu wanaopaswa kuwezeshwa ujuzi na mitaji ili waweze kujitafutia kipato.

Oyortey, ameiomba Manispaa ya Morogoro licha ya walemavu hao kupatiwa mitaji lakini Manispaa ijikite katika kuona namna ya kuwaongezea mitaji katika mikopo yao ya asilimia 2.

Naye Mwenyekiti wa Watu wenye Ualbino Mkoa wa Morogoro, Hassan Mikazi, amesema kukosekana kwa mitaji kwa watu wenye ulemavu umesababisha wengi wao wanakosa fursa mbalimbali ambazo zingeweza kupunguza viwango vya umasikini.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa