• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MKURUGENZI MANISPAA MOROGORO ATAKA JAMII KUTAMBUA MCHANGO WA WATOTO.

Posted on: June 15th, 2020

MKURUGENZI wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, ameziomba Jamii kutambua mchango wa watoto kuelekea siku ya Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika.

Hayo ameyazungumza leo Juni 15, 2020 Ofisini kwake ikiwa imebakia siku moja kuelekea katika kuaadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika .

Akizungumza na Waandishi wa habari, Lukuba, amesema hoja ya kuwajali Watoto ni pamoja na kufanya uhamasishaji kupinga ukatili kwa watoto hususani mila ya ukeketaji ambayo inaathiri kwa namna mbalimbali maslahi ya watoto katika jamii.

Katika maadhimisho ya mwaka huu 2020 dhima kuu kwa Afrika ni "Mifumo Rahisi ya Upatikanaji wa Haki ya Mtoto:Ni Msingi Imara wa Kulinda Haki zao".

'"Kesho tunaadhimisha maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika, yapo mengi ya kuyafanya katika kuwalinda Watoto wetu, lakini tukumbuke changamoto kama vile migogoro ya kifamilia, masuala ya UKIMWI, malezi ya watoto, ukatili wa kijinsia, ndoa, mirathi naajira hivi vyote vina wanyima haki watoto , niwaombe Wananchi wa Mnaispaa ya Morogoro, kipindi hiki Watoto wetu wapo nyumbani likizo, niombe kuna kazi za kuwatumikisha lakini hawa tukiwategemea katika kazi za uzalishaji wa mali hatuwatendei haki, lazima familia katika kipindi hiki tuangalie kwa umakini matendo tunayoyafanya nyumbani, natumaini siku hii itakuwa chachu ya Mkombozi kwa Watoto wetu" Amesema Lukuba.

Lukuba, ameendelea kuwataka wananchi wa Manispaa ya Morogoro na Watanzania kuheshimu na kulinda haki za watoto kwa kuzingatia kwamba haki za watoto zimekuwa hatarini.

Hata hivyo ameziomba Jamii na Familia kuwashirikisha watoto katika kufanya maamuzi yanayogusa maslahi yao ili kufanya maamuzi sahihi kwa kundi hilo.

 Aidha, ameukumbusha umma wa watanzania kuachana na mila kandamizi zinazodidimiza maslahi ya mtoto na badala yake kulinda haki za watoto hasa kwa kuzingatia watoto ni moja ya makundi yanahitaji ulinzi mbadala.


Ikumbukwe kwamba kila ifikapo Juni 16 kila mwaka bara la Afrika huadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika tangu kuidhinishwa kwa siku hiyo na Umoja wa Afrika mwaka 1991 ambapo Umoja wa Afrika ulianzisha Siku ya Mtoto wa Afrika kama sehemu ya kuwakumbuka na kutambua mchango wa watoto waliopoteza maisha katika mauaji yaliyotokea huko Soweto, Afrika ya Kusini wakati watoto walipoandamana kudai haki zao za msingi.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa