• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MSIMAMIZI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MANISPAA YA MOROGORO ARIDHISHWA NA ZOEZI LA UPIGAJI KURA

Posted on: November 24th, 2019

MSIMAMIZI Uchaguzi Serikali za Mitaa Manispaa ya Morogoro, Ndug. Waziri Kombo,amewapongeza Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya kupigia kura baada ya kuridhishwa na hali ya utulivu na mwenendo mzima wa zoezi hilo ulivyokwenda.

Akizungumza na Waandishi wa habari, amesema mpaka sasa zoezi linakwenda vizuri na hakuna malalamiko yoyote yaliyojitokeza hivyo inaonesha ni jinsi gani wasimamizi walivyokuwa makini na wanafanya zoezi hilo kwa haki.

Aidha, amesema kuwa vituo vyote vilikuwa na idadi ya kutosha ya wapiga kura waliojitokeza, na wasimamizi wa Uchaguzi walifika mapema kwa kuzingatia muda uliopangwa.

" Nimeridhishwa na hali ya zoezi la upigaji kura hakuna kituo ambacho hakijafunguliwa, vituo vyote vilikuwa wazi, sijapokea malalamiko yoyote hadi sasa, hii inaonesha kwamba zoezi linakwenda vizuri, hivyo matumaini yangu hadi kufunga zoezi hili mambo yatakwenda vizuri, niwapongeze wasimamizi wa vituo vya uchaguzi niwaombe waendelee kutimiza majukumu yao kwa kufuata misingi ya haki ili kila mtu aweze kutimiza haki yake ya msingi ya kikatiba" Amesema Kombo.

Amesema Manispaa ya Morogoro kwa zoezi la upigaji kura ilikuwa na jumla ya kata 29 zenye Mitaa 294, lakini kata zilizoshiriki uchaguzi ni Kata 9 na Mitaa 27, kupungua kwa idadi ya kata na Mitaa kumetokana na  baadhi ya wagombea hususani Chama Cha Mapinduzi kupita bila kupingwa na wagombea wengine wa vyama vya upinzani wakijiengua katika uchaguzi huo.

Ametoa rai kwa Wananchi waendelee kujitokeza kupiga kura kwa muda uliobakia kwani ni haki yao ya kikatiba ya kuwachagua Viongozi watakaoweza kuwaletea maendeleo.

"Niwaombe muende kupiga kura, Uchaguzi huu ni muhimu kwa Ustawi wa nchi yetu, kwa haya masaa mawili yaliyobakia yanatosha kwa wananchi kwenda kupiga kura ,kwani usipopiga kura utajikosesha haki yako ya kikatiba pamoja na maendeleo yako mwenyewe kwakuwa utapata kiongozi ambaye atadumu kwa muda wa miaka 5 hivyo mtaendelea kuteseka kwa kipindi hicho" Ameongeza Waziri Kombo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa