• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WATENDAJI MANISPAA MOROGORO WATAKIWA KUTATUA KERO NA MALALAMIKO ILI KULETA MABADILKO CHANYA KWA JAMII

Posted on: December 31st, 2019

Watendaji wa Kata na Mitaa Halmshauri ya Manispaa ya Morogoro, wametakiwa kushughulikia malalamiko na migogoro iliyoko katika maeneo yao ili iwe chachu ya maendeleo na kuleta mabadiliko chanya kwa Jamii.

Hayo yamezungumzwa  na Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro, Bi. Erica Yegele kwenye kikao kazi cha kufunga mwaka kilichofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa Morogoro Desemba 31,2019.

Amesema kuwa Watendaji wanatakiwa kuwasilisha mihutasari ya vikao vyao kwa wakati , ikiwamo kuzingatia muda, nyakati na kutoa ripoti zenye uhalisia.

Ametoa agizo kwa kila Mtendaji kuwa na daftari la rejesta za malalamiko na hatua walizochukua baada ya kupokea malalamiko ili kurahisisha utendaji kazi kwa kutoa huduma bora kwa Wananchi wao.

'Nawaomba watendaji mfanye kazi kwa bidii, hali si shwari katika maeneo yetu, pia suala la usalama bado hafifu mfano kata ya Mafiga , niwaombe wakusanyeni hao vibaka na kuwatafutia mradi wa pamoja nipo tayari kutoa hata pesa zangu za mfukoni ili usalama wa wananchi uimarike" Amesema Bi Yegela.

Katika hatua nyingine amelalamikia kushuka kwa nidhamu shuleni, hivyo amewataka Watendaji kujenga utaratibu wa kuzifikia shule na kuzungumza na Wanafunzi pamoja na waalimu ili kujenga mazingira mazuri na rafiki na nidhamu za wanafunzi wa Manispaa ya Morogoro.

Aidha amesema ni wakati wa Watendaji kushiriki kikamilifu katika suala zima la usafi na kusimamia vyema vikundi vya kufanya usafi kwani hali ya usafi katika baadhi ya maeneo hairidhishi.

Pia amesema Manispaa ya Morogoro ipo chini kimapato, hivyo Watendaji washirikiane katika kusimamia vyema vyanzo vya mapato na kuifanya Halmshauri kujiendesha yenyewe bila ya kutegemea fedha kutoka kwa wafadhili na Serikali kuu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa