• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WAZIRI JAFO APONGEZA MKOA WA MOROGORO KWA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI.

Posted on: October 15th, 2022

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo, ameupongeza Mkoa wa Morogoro na wadau wa mazingira kwa ujumla kwa jitihada za kupambana na mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Pongeza hizo amezitoa Oktoba 12/2022 katika maandamano ya amani kupinga uchomaji moto milima na uchafuzi wa mazingira Mkoani Morogoro ambapo maandamano yaliyofanyika Shule ya Sekondari Kilakala Manispaa ya Morogoro.

Dkt. Jafo ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, na Viongozi mbalimbali pamoja na wadau wa mazingira kwa kushirikiana na wananchi kwa kushiriki kikamilifu kwenye utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti katika maeneo mbalimbali.

Pia amesisitiza kuongeza juhudi za kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kila mmoja kupanda miti na kuitunza kwa maendeleo endelevu.

Aidha, Amezitaka taasisi mbalimbali kama shule, vyuo, hospitali, magereza na maeneo mbalimbali kupanda miti na kufanya usafi ili kudumisha usafi na uhifadhi wa mazingira.

Amesema "mabadiliko ya tabianchi yamekuwa na changamoto kubwa duniani, suala la ukame maeneo mbalimbali na mvua zisizotosheleza, jambo la kufanya ni kila mwananchi kufuata ajenda ya utunzaji wa mazingira na upandaji miti ili kufikia lengo la kupanda miti millioni 276.

Naye Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Jabiri Makame, amesema ni wakati sasa kwa wadau wanaoshughulika na Mazingira kujitathmini na kufanyakazi kwa pamoja kwa kutoa elimu na uwezeshaji wa miche mbalimbali ya miti kwa jamii ili kuhakikisha jamii inawajibika vema katika suala la uhifadhi wa mazingira kwa manufaa ya sasa na ya baadae.

Kwa upande wa Mstahiki Meya Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amesisitiza suala la upandaji miti ili kurejesha hadhi ya Mkoa huo wenye asili ya kuwa na mazingira bora na yenye utulivu kwa binadamu na Wanyama hadi kupelekea uwepo wa mvua nyingi unaosababisha uwepo wa mito mingi inayotiririsha maji yake msimu mzima tofauti na ilivyo sasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa