• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC KILAKALA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI DCC CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA BAJETI YA MWAKA FEDHA 2025/2026 MANISPAA YA MOROGORO.

Posted on: January 31st, 2025

MKUU wa Wilaya ya Morogoro ,Mhe. Mussa Kilakala, ameongoza Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) Manispaa ya Morogoro kikao kilicholenga kujadili mapendekezo ya rasimu ya Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Manispaa ya Morogoro.

Kikao hicho kilifanyika Januari 31/2025 katika Ukumbi wa Manispaa ya Morogoro na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa maendeleo ikiwemo viongozi wa vyama mbalimbali vya Siasa.

Akifungua kikao hicho , DC Kilakala, amesema kuwa kikao hiko kilikuwa na lengo la kujadili mapendekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 na kuwaomba wajumbe kupitia vizuri bajeti hiyo kwa maslahi mapana ya Manispaa ya Morogoro na Wilaya kwa ujumla.

Naye , Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu Manispaa ya Morogoro,Edward Mwamotela, amesema mwaka wa fedha 2025/2026 Manispaa inakisia kukusanya Shilingi 15,622,877,000.00 ya mapato ya ndani na inakisia kukusanya na kutumia shilingi 93,809,858,854.97.

Mwamotela,amesema mapendekezo ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yameandaliwa kwa kuzingatia miongozo ,sheria na sera mbalimbali.

Miongoni mwa sera hizo ni Dira ya Taifa ya Maendeleo (2025),Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano 2021/2022-2025/2026,Sheria ya Bajeti No.11 ya mwaka 20215, Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020, Mpango Mkakati wa Manispaa ya Morogoro wa mwaka 2021/2022-2025/2026, Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030,Mwongozo na Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa mwaka 2025/2026, Mapendekezo ya Mipango kutoka ngazi ya Mitaa na Kata (O & OD) pamoja na Sera za Kisekta.



Naye Mwenyekiti CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Ndg.Fikiri Juma, amemshukuru DC Kilakala, huku akimuhakikishia kuwa CCM Wilaya ya Morogoro itaendelea kusimamia utekelezaji wa Ilani ili wananchi wafaidi matunda ya Serikali yao.

Wajumbe mbalimbali wamempongeza DC Kilakala, na kuwaomba wataalam waendelee kupanga mipango na Bajeti zinazo akisi moja kwa moja uhalisia kwa maendeleo ya Manispaa ya Morogoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa