• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KAMATI NDOGO YA MAZINGIRA MANISPAA YA MOROGORO YAFANYA ZIARA, DIWANI KILONGO ATOA MKONO WA POLE KWA WAANGA WA MAFURIKO.

Posted on: January 18th, 2023

MWENYEKITI wa Kamati ndogo ya Mazingira Manispaa ya Morogoro, Mhe. Hamisi Kilongo, akiongozana na Wajumbe wa Kamati hiyo, wamefanya ziara ya kamati hiyo ambapo katika ziara walitembelea Kata ya Kihonda Maghorofani pamoja na Kata ya Kihonda.

Ziara hiyo imefanyika Januari 18/2023, ambapo lengo la ziara hiyo ni kuangalia changamoto za usafi katika Kata ya Kihonda Maghorofani baada ya kupata malalamiko juu ya mzabuni wa usafi Kata hiyo na kutembelea Kata ya Kihonda kuangalia eneo lililopita mkondo wa maji unaosababisha mafuriko wakati wa mvua Kata ya Kihonda.

Katika Kuona namna gani ya kutatua kero ya usafi Kata ya Kihonda, Kamati ilimtaka mzabuni wa usafi wa Kata ya Kihonda Maghorofani ambaye ni Kajenjere kuonesha taarifa za madeni wanazowadai wananchi lakini kufanyia kazi malalamiko ya wananchi katika uzoaji wa taka kwa wakati.

"Tumepokea malalamiko kutoka kwa Diwani wa Kata hii kufuatia wananchi kumlalamikia ucheleweshwaji wa uzoaji wa taka, sasa kama kamati kwanza tumemtaka mzabuni Kajenjere kuyafanyia kazi malalamiko ya wananchi, lakini kutuletea taaria ambazo wanadai kuwa wananchi wa Kata hiyo wanadaiwa baada ya hapo sasa tutakaa kuona namna bora ya sisi na wao jinsi ya kufanya kazi, tunataka Mji wetu uwe safi, taka zikizagaa hvyo zitaleta magonjwa ya mlipuko, " Amesema Mhe. Kilongo.

Kwa upande wa Mjumbe wa Kamati hiyo,ambaye ni Diwani wa Kata ya Mbuyuni, Mhe. Samwel Msuya, amewataka wazabuni wa usafi pamoja na vikundi kazi vilivyopewa dhamana ya usafi wafanye kazi kwa kuzingatia mikataba waliyosaini ili kuhakikisha Mji wetu unakuwa safi.

Katika hatua nyingine, Mhe. Kilongo ambaye ni Diwani wa Kata ya Kihonda, alifika Kata ya Kihonda Januari 18/2023 akiongozana na Wajumbe wa Kamati ndogo ya Mazingira kuwaona wahanga na kutoa Msaada wa Unga wa Sembe ikiwa ni jitihada za kuwasaidia wananchi hao walio atharika sana na mafuriko na kupotelewa na vitu na kukosa mahitaji muhimu ya kibinadamu.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa