• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KILIO CHA MAJI SASA BASI, RC SHIGELA ATOA NENO LA MATUMAINI, MKUNDI, LUKOBE TUNGI KICHEKO

Posted on: June 20th, 2022

WAKAZI wa Kata ya Mkundi, Lukobe pamoja na Tungi wapo katika hatua za mwisho wa kupatiwa majibu ya kilio chao cha maji kilichokuwa kikiwakabili kwa muda mrefu.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Morogoro, Mhe. Martine Shigela, wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa Kituo cha kusukuma maji kilichopo Kata ya Kihonda eneo la Mizani ya zamani kinachosimamiwa na MORUWASA chini ya Mkandarasi Daino Tech Engineering Ltd Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari katika ziara hiyo, RC Shigela, amesema Mkoa wa Morogoro licha ya kuwa na vyanzo vya maji lakini bbado wananchi uhaba wa maji ulikuwa ukitawala kwa kutegemea chanzo kimoja cha Bwawa la Mindu.

RC shigela,amesema ni wakati sasa wa Wakazi hao kuanza kufurahia matunda ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassani ya kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya Visima na vituo vya kusukuma maji vyenye thamani ya Zaidi ya Bilioni 1

“ Haya ni maeneo mapya hivyo tunatarajia mradi huu ukikamilika utaweza kuwahudumia wakazi wa Mkundi, Lukobe, na Tungi kwani ujenzi unaendelea kwa kasi na umefikia asilimia nzuri asilimia 40 na unatarajia kukamilika mwishoni mwa mwezi Juni 30/2022” Amesema RC Shigela.

Aidha, amesema mradi wa kisima cha tenki la maji umegahrimu Milioni 600, na kituo cha kusukuma maji umegharimu milioni 590 wenye pampu 2 na milioni 467 kwa ajili ya tenki lingine litakalo lisha wakazi wa Kilimanjaro na Tungi.

“ Rais wetu amedhamiria kumshusha mwanamke ndoo kichwani, Manispaa yetu ya Morogoro tumeokea kiasi cha shilingi Bilioni 1 na milioni 700 ambazo tayari zinaendelea kutumika, hata ule mradi Rais wetu aliosaini wa Tirioni 1 sisi Morogoro tupo na Mji wetu wa Ifakara wanaenda kunufaika nao, tunaamini mradi huu utakamilika mwezi Agosti na kilio cha maji katika maeneo niliyo yataja hapo juu tutakuwa hatuna tena changamoto hiyo ya maji” Ameongeza RC Shigela.

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro , Mhe. Pascal Kihanga, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuwakumbuka Manispaa ya Morogoro kwa kuwapatia fedha za mradi mkubwa wa maji ambao utaenda kuondoa kilio cha Wana Morogoro ikiwamo Tungi, Lukobe, Maeneo ya Kilimanjaro Kihonda pamoja na Tubuyu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa