• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO KUKUSANYA BILIONI 10 MAPATO YA NDANI MWAKA WA FEDHA 2022/2023.

Posted on: February 10th, 2022

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 10 kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hayo yamezungumzwa Februari 10, 2023, na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, wakati wa kuwasilisha rasmi Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2022/2023 katika Mkutano maalum wa Bajeti wa Baraza la Madiwani  uliofanyika katika Ukumbi wa Kilakala Soko Kuu la Chifu Kingalu Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari, Kihanga, amesema Manispaa inakadiria kukusanya na kutumia kiasi cha shilingi Tshs.84,974,512,600.00 ambapo kwenye mapato ya ndani ni Tshs.10,754,563,600.00 , ruzuku ya mishahara na matumizi ya kawaida Tshs.84,891,140,000.00 na miradi ya Maendeleo ni Tshs.8,568,986,000.00.

Hata hivyo, amesema Manispaa ya Morogoro , imeendelea na utoaji wa Mikopo ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu kama kanuni inavyoagiza kuwa Halmashuri kupitia mapato yake ya ndani kutenga asilimia 10.

Amesema katika bajeti ya 2022/2023 Manispaa ya Morogoro, ilitenga kiasi cha milioni 912,345,060.00 kwa ajili ya mkopo ya uwezeshaji wa kiuchumi kwa Vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu.

Katika ujenzi wa madarasa , Mhe. Kihanga, amesema Manispaa imetenga kiasi cha shilingi milioni 625 kwa ajili ya umaliziaji wa maboma 50 ya madarasa ya shule za Msingi.

Katika huduma za afya, Manispaa ya Morogoro imetenga kiasi cha Tshs.300,000,000.00 kwa ajili ya ukamilishaji kituo kimoja cha afya huku ikitenga shilingi milioni 200,000,000.00 kumalizia miundombinu ya Zahanati 4 za Mji Mkuu, Kauzeni, Mafiga na Kihonda.

Mwisho, amewashukuru Viongozi wa vyama vya Siasa, Viongozi wa Taasisi mbalimbali, Waheshimiwa Madiwani , wadau wa maendeleo, Wananchi pamoja na Waandishi wa habari kwa kuhudhuria Mkutano huo muhimu ambapo amesema pamoja na mambo mengine , bajeti hiyo imezingatia Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020 -2025 na mkakati wa kukuza Uchumi na kupunguza Umasikini (MKUKUTA).

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amewashukuru Wananchi wote waliohudhuria kikao maalumu cha kupitisha mapendekezo ya mipango ya bajeti 2022/2023.

"Nawashukuru sana Waheshimiwa Madiwani kwa maelekezo yenu ya msingi mliyoyatoa wakati wa kujadili bajaeti hii kupitia kamati zetu za kudumu za Halmashauri, niwapongeze Wananchi wote kupitia Mabaraza ya Maendeleo ya Kata na katika vikao vilivyofanyika katika nyakati na ngazi mbalimbali ,kwa kujitokeza kwa wingi , waandishi wa habari, napenda kuwahakikishia mawazo yenu yamezingatiwa kwa kadri ilivyowezekana katika maandalizi tuliyoyafanya ya bajeti hii” Amesema Machela.

Katika Bajeti ya mwaka 2022/2023 , Halmashauri imelenga kutoa vipaumbele vifuatavyo,Makusanyo ya mapato, elimu , Afya,Usafi wa Mji na utunzaji wa Mazingira, Utawala bora na Mipango Miji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa