• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 NA PHOTOKOPI MASHINE 2 SHULE 3 ZA SEKONDARI NA VITUO VYA TRC

Posted on: May 3rd, 2022

MANISPAA ya Morogoro, imekabidhi jumla ya Kompyuta za mezani 30 kwa shule tatu 3 za Sekondari Mafiga, Kihonda na Kingolwira pamoja na Photokopi Mashine 2 kwa Vituo vya mafunzo vya TRC Kikundi na Kiwanja cha Ndege.

Tukio hilo la makabidhiano limefanyika Mei 02/2022 ambapo Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Pili Kitwana amekabidhi huku ikishuhudiwa na Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Morogoro Chausiku masegenya , Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Sekondari Anna Lupiano pamoja na Afisa TEHAMA Manispaa Zenna Lutego.

Akikabidhi kompyuta hizo, Kitwana, ameishukuru Lanes kwa msaada huo huku akibainisha kuwa lengo la Manispaa ya Morogoro ni kuwa Manispaa ambayo ipo kiganjani ambao taarifa yoyote inaweza kupatikana muda wowote.

" Ninaamini kompyuta hizi zitawasaidia sana wanafunzi na walimu pia yapo mambo yatakayotatuliwa kupitia kompyuta hizi, ili sasa kuleta elimu bora, na kutengeneza wasomi wazuri ambao watachangia katika uchumi wa Taifa letu" Amesema Kitwana.

Kitwana, amesema vifaa hivyo vimetoka Wizara ya Elimu kupitia ufadhili wa Lanes.

Naye , Afisa Elimu vifaa na Takwimu Manispaa ya Morogoro, Anna Lupiano, amewataka Waalimu kuwa makini na vifaa hivyo na wavitumie kwa matumizi yaliyokusudiwa.



Kwa upande wa Afisa TEHAMA Manispaa ya Morogoro, Zenna Lutego, amewataka Waalimu hao kuvitunza vifaa hivyo ili vizidi kuwasaidia baadae.

" Hivi ni vitu vya msaada , wenyewe siku wakija pengine wakahitaji kuviona vifaa hivi , sasa tukivitumia bila uangalizi vikaharibika tutapoteza uaminifu na misaada mengine tunaweza kuikosa" Amesema Lutego.



Nao Wakuu wa shule hizo 3 zilizopata Kompyuta, wakiwakilishwa na Mkuu wa Shule ya Sekondari Mafiga , Mwl. Robert Marwa, wameishukuru Manispaa ya Morogoro kupitia Wizara ya elimu kwa kuwasaidia kompyuta hizo na kueleza namna zitakavyowasaidia.



"Kompyuta hizi kwanza zitatusaidia kuwezesha mawasiliano hususani katika masuala ya intaneti kwa ajili ya kutuma na kupokea taarifa mbalimbali kwa wakati na kuchapa majaribio ya wanafunzi , lakini vifaa hivi vitasaidia sana wanafunzi kujifunzia kwa vitendo wawapo shuleni na kutafuta 'notes' za masomo mbalimbali ili waweze kujifunza"

" Amesema Marwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa