• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAKABIDHI VISHIKWAMBI 1259 KWA WAALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI. DC MSANDO ATOA NENO.

Posted on: January 23rd, 2023

MKUU wa wilaya ya Morogoro Mhe. Adv. Albert Msando , ameongoza zoezi la ugawaji vishikwambi 1259 kwa walimu wa Shule za Msingi na Sekondari zilizopo Manispaa ya Morogoro.

Zoezi hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano Ofisi Kuu ya Manispaa ya Morogoro Januari 19/2023.

Akizungumza katika zoezi hilo , DC Msando, amewataka walimu kutunza zana hizo za kazi (vishikwambi) pamoja na kufuata maelekezo yote yaliyotolewa kutoka kwenye muongozo juu ya utunzaji na utumiaji.

“Tunakila sababu ya kuishukuru Serikali yetu ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutuboreshea miundombinu katika sekta ya elimu, nendeni mkavitumie vishikwambi (tablet) hivi kwa malengo yaliyokusudiwa, tumieni vishikwambi hivi katika mambo ya msingi kama kutumiana maswali, kapakua vitu mbalimbali vya ufundishaji mtandaoni lengo ni kuongeza ufaulu katika shule za Msingi na Sekondari. " Amesema DC Msando.

Aidha, amesema, vishikwambi hivyo vimeletwa kwa kwa ajili ya matumizi ya kujifunzia na kufundishia kwa walimu wa shule za Msingi na Sekondari na sio kwa matumizi mengine ,hivyo amewataka waalimu wakatekeleze utumiaji wa zana hizo kama masharti yalivyoelekezwa katika muungozo wa matumizi yake.

Naye Afisa Elimu Sekondari Manispaa ya Morogoro , Gabriel Paul, amesema kuwa upande wa Elimu Msingi jumla ya vishikwambi 893 vimegaiwa na upande wa Shule za Sekondari vimegaiwa vishkwambi 366.

" Niwaombe Waalimu kuzingatia usalama katika utunzaji wa vishikwambi hivyo na nitoe wito kwa waalimu wote waliopata vishikwambi hivyo waweze kushirikiana na wengine ambao hawajapata ili waendelee kuboresha ujifunzaji na ufundishaji shuleni" Amesema Gabriel.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa