• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAKETI KIKAO CHA DCC CHA KUJADILI TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI NA MREJESHO WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: January 7th, 2025

MANISPAA ya Morogoro imefanya kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kwenye ukumbi wa Ofisi Kuu ya Manispaa Januari 6/2025.

Lengo la kikao hicho ilikua ni kujadili taarifa mbalimbali zautendaji kazi wa halmashauri na taasisi zote zilizopo ndani ya wilaya ya Morogoro.

Katika Kikao hicho,taarifa ya utekelezaji wa Bajeti iliwasilishwa na Idara ya Mipango na Uratibu na Bw. Edward Mwamotela Afisa Uchumi, inayoonesha malengo na mafanikio ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 na bajeti ya mwaka 2024/2025.

Akizungumza katika kikao hicho, DC Kilakala,amewataka wajumbe wa DCC wote kwa kushirikiana na wananchi kuhimizana umuhimu wa kulipa kodi ili miradi ya maendeleo iweze kuimarishwa na kuongeza mapato ya Halmashauri.

Aidha,DC Kilakala,amesisitizia suala zima la kupanga Mji,amesema upo mpango tayari ameshatuma timu ya wataalamu kuangalia eneo la mlapaklolo ili liwe eneo la kupatakana vyakula vyote vinavyopatikana usiku vipatikane sehemu moja ili kufungua mji na kutofanya biashara kila maeneo.

Aidha, DC Kilakala amesisitiza ushirikiano na mahusiano mazuri baina ya Taasisi na Taasisi, kukaa kwa pamoja kujadiliana changamoto mbalimbali zinazojitokeza na kuzimaliza na sio kusubiri Kikao Cha DCC.

Akichangia hoja mmoja wa wajumbe wa kikao hicho Ndg Ismail Ismail Kutoka Chama Cha CHAUMA , ameipongeza Halmashauri kwa ujenzi wa miradi ya maendeleo huku akiomba Uongozi uangalie kwa mapana suala la kodi kwa wafanyabiashara wa Soko la kisasa la Chifu Kingalu.

Naye Ndg. Elizeus Rwegasira Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameshauri Manispaa badala ya kuwahamisha wafanyabiashara njiani wajue kwanini wanauza hapo na nini kinawapelekea wauze maeneo hayo ikiwemo kuwawekea miundombinu rafiki kwa wateja na wauzaji ili wafanyabiashara hao wafanye biashara zao na kujipatia kipato.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa