• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: June 22nd, 2023


MKUU wa Mkoa wa Morogoro,Mhe. Adam Malima, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Morogoro lengo ikiwa ni kuangalia namna miradi hiyo inatekelezwa huku akielezea namna ambavyo amefurahishwa na utekelezaji wa miradi hiyo.

Akiongea katika ziara hiyo iliyofanyika Juni 22/2023,RC Malima , ameipongeza Manispaa ya Morogoro, kwa utekelezaji wa miradi hiyo na kwa jinsi wanavyoshirikiana vyema baina ya viongozi wa Serikali na wa chama katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa ipaswavyo.

Aidha RC Malima , amesema ofisi yake itafanyia kazi maoni ya wananchi pamoja na viongozi ikiwa ni lengo la kuufanya Mkoa wa Morogoro kuwa na maendeleo makubwa .

RC Malima , amesema amefurahishwa na ushirikiano alioupata wakati wa ukaguzi wa miradi hiyo na amewataka watumishi wa Serikali na viongozi wote wa Manispaa kuendelea kushirikiana na kuwasisitiza kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato.

Pia RC Malima, amesisitiza viongozi wote wa Manispaa kufanya ufuatiliaji wa shughuli za miradi, kusikiliza na kutatua kero za wananchi, kuendelea kusimamia usafi wa mazingira, kuendelea kuyalinda maeneo ambayo machinga wameondolewa.

Kuhusu kupata eneo la ujenzi wa shule nyengine mpya ya Sekondari Kata ya Mkundi, RC Malima, amemuagiza Mkurugenzi kuandika barua ya maombi kwa Wilaya ya Mvomero ili kuona namna ya kupata eneo la CCT ambalo wamekuwa wakitamani shule kujengwa katika eneo hilo.

Katika kuhakikisha huduma ya maji inakuwa ya kutosha, amesema atakutana na Waziri wa Maji Mhe.Juma Aweso, kuona namna ya kuharakisha huduma hiyo kwani imekuwa ni kero kwa wananchi ambao wamekuwa na matumaini makubwa na Serikali yao ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, amewataka Madiwani kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata zao ili wananchi ambao walipakodi wafaidi matunda ya kodi zao.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Rebeca Nsemwa, amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa ziara yake na kuahidi kuwa maelekezo yote aliyoyatoa yatafanyiwa kazi na kutekelezwa ipaswavyo na kuhakikisha Wilaya ya Morogoro inaendelea kuwa ya mfano kwa nyanja zote.

Katika ziara hiyo , miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni Ujenzi wa Shule mpya ya mfano ya Ghorofa iliyopo Kata ya Boma, Kituo cha afya Tungi, Uzinduzi wa Jengo la Utawala Shule ya Sekondari Mkundi Mlimani pamoja na Kituo cha Afya Lukobe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa