• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YA MOROGORO YATOA MKOPO WA MILIONI 91,000,000 KWA VIKUNDI VYA VIJANA

Posted on: April 23rd, 2018

Halmshauri ya Manispaa ya Morogoro imetoa fedha kwaajili ya mikopo yenye jumla ya milioni 91,000,00 kwa vikundi vya vijana 31.Hayo yamebaishwa na Mkuu wa Wilaya Bi Regina Chonjo wakati wa kugawa hundi kwa vikundi hivyo.

Mhe Chonjo ameeleza kuwa Manispaa ya Morogoro hutenga 10% ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kukopesha vikundi vya wanawake na vijana na watu wenye mahitaji maalumu,ambapo asilimia 4 ni kwa vikundi vya wanawake na asilimia 4 ni kwa vikundi vya vijana na asilimia 2 ni kwa watu wenye mahitaji maalumu.Riba ya mikopo unaotolewa ni asilimia 10%.

Akizungumza wakati wa halfa hiyo Mhe Chonjo amesema lengo la mfuko wa maendeleo ya wanawake na vijana ni kutoa fursa kwa jamii hivyo ili waweze kupata mikopo yenye riba nafuu.Mikopo hii utolewa ili kuwaongezea mitaji kwenye biashara ambazo tayari zimeanzishwa ili kuwawezesha kujiendeleza kiuchumi na hivyo kuinua hali za maisha.

"Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Manispaa ilitenga kiasi cha shillingi 342,659,552 kwaajili ya kuvikopesha vikundi vya vijana"alisema Chonjo.

"Vikundi vinavyopewa mikopo ni vile ambavyo vimependekezwa na kamati za maendeleo za kata na kufanyiwa uhakiki na kuonekana vimekidhi vigezo na vikundi vinavyofanya shughuli za viwanda vidogovidogo vimepewa kipaumbele".aliongeza kusema Chonjo

Mkuu uyo wa Wilaya amewasisitiza vijana waliopatiwa mikopo kuzitumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa na kuwaagiza watendaji wa kata na maafisa Maendeleo ya jamii kusimamia vikundi na kuelewa fedha iliyotolewa ni kodi za wananchi hivyo zinapaswa zitumike na kurejeshwa ili vikundi vingine navyo viweze kukopeshwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa