• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MANISPAA YANG'ARA MASHINDANO YA UMISETA MKOA WA MOROGORO 2023

Posted on: June 10th, 2023


MASHINDANO ya UMISETA kwa shule za sekondari Mkoa wa Morogoro ya kutafuta timu zitakazo unda timu ya Mkoa wa Morogoro yamemalizika kwa timu za Manispaa zilisoshiriki katika mashindano hayo kufanya vizuri katika michezo mbalimbali.

Fainali za mashindano hayo ya kusaka timu za Mkoa zimefanyika katika Viwanja vya Mpira wa Miguu Shule ya Sekondari Morogoro Juni 10/2023.

Akizungumza mara baada ya michezo hiyo kukamilika, Afisa Michezo Manispaa ya Morogoro, Asteria Mwang'ombe, amesema Mnispaa ya Morogoro ilishiriki katika michezo ya Mpira wa Miguu wasichana na wavulana , Volleyball, Netball , pamoja na mchezo wa Handball.

Mwang'ombe ametaja matokeo ambayo timu za Manispaa zilipata katika mashindano hayo ambapo katika upande michezo ya Juni 08/2023 mchezo wa Volleyball Wavulana mechi ya kwanza Manispaa ilishinda seti 2 -0 dhidi ya Mlimba, Mpira wa Miguu mechi ya kwanza Manispaa ilishinda 6-1 dhidi ya Malinyi, Netball Manispaa 28- 10 Malinyi, Volleyball wavulana mechi ya pili Manispaa seti 2- 0 Moro DC , Volleyball wavulana mechi ya tatu Manispaa seti 2-0 Kilosa, Handball Wavulana Manispaa 0-4 Gairo, Mpira wa Miguu mechi ya pili Manispaa 4-1 Kilosa, Handball wavulana mechi ya pili Manispaa 5-19 Mvomero ,Mpira wa Miguu wasichana Manispaa 0-0 Malinyi na Mpira wa Miguu wasichana mechi ya pili Manispaa 1-1 Kilosa.

Katika michezo iliyochezwa Juni 09/2023, Volleyball wasichana Manispaa 2-Ifakara 0, matokeo ya Netball hatua ya makundi Manispaa 28-10 Ulanga, Manispaa 21-5 Gairo, Manispaa 23-8 Mlimba, makundi ya Basketball wasichana Manispaa 10-Moro DC 14, Mpira wa miguu Manispaa 1-1 Mlimba , Manispaa 0-0 Mvomero na upande wa Mpira wa miguu wasichana Manispaa 1-1 Mvomero.

Akifafanua zaidi kwa washindi wa michuano hiyo, upande wa Volleyball wasichana wamekuwa washindi wa kwanza (1), Volleyball wavulana washindi wa kwanza (1), Netball washindi wa kwanza, Basketball wavulana washindi wa pili (2) na Basketball wasichana washindi wa pili (2).

Katika upande wa michezo mpira wa Miguu, Mwang'ombe amesema Manispaa ilitakiwa kucheza kuwania nafasi ya mashindi wa tatu lakini mchezo huo haukuweza kufanyika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa