• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.3 WILAYA YA MOROGORO

Posted on: August 11th, 2021

Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa  2021umetembelea miradi 7 yenye thamani  ya Tsh 1.355,918,110.96 katikaWilayayaMorogoro.

Katika miradi hiyo ambapo mradi wa 1 kati ya hiyo wenye thamani ya Tshs. 648,175,470.96 umefunguliwa, miradi 2 yenye thamani ya Tshs. 156,418,940.00 imewekewa mawe ya msingi ,miradi 3 yenye thamani ya Tshs. 81,123,700 imekaguliwa na kuonwa na mradi 1wenye thamani ya Tshs. 470,200,000.00 umezinduliwa ambapo kati ya fedha hizo , Serikali Kuu imechangia Tshs.1,080,093,900 Halmashauri Tshs. 207,987,990.96, Wahisani Tshs. 2,000,000.00 na wananchi Tshs. 26,829,340.00.

Miongoni mwa miradi hiyo iliyotembelewa na Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021 Wilaya ya Morogoro ni pamoja na Mradi wa Kitega Uchumi Mbadaraka Mwinshehe (DDC), Ujenzi wa Mtaro wa kumwaga Maji machafu Mjini Kati, UjenziwaVyumba 4 vya Darasa Shule Mpya ya Sekondari Mazimbu, Mradi wa ushonaji wa Viatu Tungi Youth Initiatives Nanenane, Mradi wa Maji RUWASA Mikese, Kituo Jumuishi cha huduma za pamoja (One Stop Centre Mafiga ), na Kiwanda cha Usindikaji Maziwa Mtego wa Simba.

Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021 ,umeongozwa na Kiongozi wa Mbio hizo Luteni Josephine Paul Mwambashi pamoja na wakimbiza mwenge wenzake.

Ikumbukwe kuwa Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 katika Wilaya ya Morogoro, ulitembelea jumla ya miradi 11 yenye thamani ya Tshs. 52,006,789,825 ambapo mradi 1 kati ya hiyo wenye thamani ya Tshs.154,350,680 ulifunguliwa, na miradi 4 yenye thamani ya Tshs.48,379,104,551.22 ilikaguliwa na kuonwa na miradi 4 yenye thamani ya Tshs. 3,067,670,594.00 ilizinduliwa na miradi 2 yenye thamani ya Tshs 405, 664,000 iliwekewa Mawe ya Msingi ambapo kati ya fedha hizo za miradi iliyotembelewa , Serikali Kuu ilichangia Tshs. 10,558,831,434.62, Halmashauri Tshs. 665,278,280, wananchi Tshs.15,184,000.00 na wahisani Tshs.40,767,496,111.00 miradi yote 11 iliyopitiwa na Mbio za Mwenge inaendelea vizuri katika kutoa huduma.

Ujumbe wa Mwenge wa uhuru wa mwaka 2021 ‘TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Itumie kwa usahihi na Uwajibikaji’.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa