• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

PAZIA LA MASHINDANO YA UMISSETA MANISPAA YA MOROGORO LAZINDULIWA MEI 11/2023

Posted on: May 11th, 2023

MASHINDANO ya UMISSETA Manispaa ya Morogoro yameanza rasmi katika viwanja vya shule za sekondari Morogoro.

Mashindano hayo yaliyo timua vumbi Mei 11/2023, yalishirikisha michezo kama vile soka, kikapu, mikono, riadha, wavu, table tenis kwa wavulana na wasichana, bao kwa wavulana na netiboli kwa wasichana.

Akifungua mashindano hayo ya UMISSETA, Mgeni Gerard, ambaye ndiye mgeni rasmi wa Mashindano hayo, amewaasa wanafunzi kutia nia na juhudi katika michezo hiyo kwani michezo ni afya na ajira kwani mashindano haya ni msingi wa vipaji vijavyo katika Taifa letu la Tanzania.

"Lengo la michezo hii ni kupata vijana wenye vipaji ambapo kama Taifa tunataka tuendeleze vipaji hivi na baadae tuwe na timu imara na kama ikiwezekana tushiriki katika mashindano mbalimbali ya AFCON na World Cup , hivyo amewaasa wanafunzi ambao wanashiriki mashindano hayo waongeze bidii na juhudi ili waweze kupata fursa ya ajira kwani hapo ndio sehemu nzuri ya kuonesha vipaji vyao" Amesema Mgeni.

Mgeni,amesema kuwa mashindano hayo yameshirikisha timu kutoka kanda 4 ambapo kanda hizo ni Bigwa Tungi, Kihonda, Mjini Kati pamoja na SUA.

Naye, Afisa Michezo Manispaa ya Morogoro , Asteria Mwang'ombe, amesema lengo la mashindano hayo ni kuwandaa vyema wanafunzi na kupata vijana wenye vipaji ambao watashiriki ngazi ya Mkoa ili kuunda timu bora ya Mkoa wa Morogoro.

Sambamba na hayo, Mwang'ombe, amewataka wanafunzi hao wacheze kiufundi na kiustarabu ili wasije wakaumizana kwani baada ya michezo hii wanatakiwa kurudi shule na kuendelea na masomo.

"Lengo letu ni kuibua vipaji kwa vijana wetu hivyo nawaasa mkicheza mhakikishe mnacheza kiufundi na kiustarabu isije ikatokea kuumizana kwani baada ya mashindano haya mnatakiwa kuendelea na masomo kwani michezo ni mojawapo ya kuifanya akili yako kuwa imara kwahiyo baada ya hapa watakaochaguliwa inabidi mkaoneshe ujuzi wenu na wale ikatokea wamebaki wasikate tamaa warudi shule na wasome kwa bidii kwani michezo na elimu ni vitu vinavyoendana" Amesema Mwang'ombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa