• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WAMILIKI WA HOTEL WAPEWA SIKU SABA KULIPIA USHURU WA HOTEL

Posted on: October 31st, 2019

Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Sheilla Lukuba ametoa siku saba kwa wamiliki wa Hotel na nyumba za kulala wageni  kuanza kulipia madeni yao ya ushuru wa nyumba za kulala wageni ambayo wanadaiwa toka mwaka 2018 hadi sasa.

Mkurugenzi Sheilla ametoa agizo hilo wakati wa ukaguzi wa kupitia nyumba hizo za wageni kuangalia kama wanawaorodhesha wageni katika vitabu vya wageni ambavyo ukaguliwa na Manispaa kwaajili ya kulipia ushuru na kuangalia kama wana leseni za kuendesha biashara hiyo.

Katika ukaguzi huo Sheilla aliongozana na timu ya wataalamu na kugundua wafanyabiashara hao wamekuwa wakifanya udanganyifu mkubwa kwa kutowaorodhesha wageni wanaolala katika Hotel na nyumba hizo za wageni na wengine wamekuwa wana vitabu viwiliviwili na hiyo kupelekea Halmashauri kutopata mapato yanayostahili.

"Katika ukaguzi huu nimegundua kuna udanganyifu mkubwa unaofanywa na wafanyabiashara wa nyumba za kulala wageni na suala hili Serikali haikubaliani nalo ata kidogo,kila mteja anayeingia katika nyumba hizo anapaswa kuorodheshwa katika daftari ambalo hutolewa na Halmashauri"Alisema Mkurugenzi Sheilla.

Mkurugenzi Sheilla amewaagiza wamiliki wote wa Hotel na nyumba za kulala wageni kuanza kulipia kodi ya ushuru wa nyumba za kulala wageni kuanzia sasa na kwa wasiofata sheria kuanzia sasa watafikishwa mahakamani kwa kuwa wanakiuka sheria zilizowekwa.

Katika Ukaguzi huo jumla ya nyumba za kulala wageni kumi na saba zilifungiwa kuendelea kufanya biashara hiyo hadi watakapokidhi vigezo na nyumba sita zilibainika kufuata sheria kwa kuwaorodhesha wageni katika daftari la wageni.

Aidha Mkurugenzi sheria ametoa wito kwa wafanyabiashara wengine kuendelea kulipia kodi mbalimbali wanazodaiwa kama kodi ya Huduma,leseni za biashara na ushuru wa nyumba za kulala wageni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa