• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WANAWAKE , VIJANA , WENYE ULEMAVU MANISPAA MORO WANUFAIKA NA MIKOPO

Posted on: January 15th, 2019

Vikundi 101 vikiwemo 70 vya wanawake na vingine vya vijana katika Manispaa ya Morogoro vimepatiwa mikopo ya jumla ya Sh milioni 204.5 kwenye utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha wa 2017/2018.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, John Mgalula alisema hayo  wakati akielezea baadhi ya mafanikio yaliyotokana na utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha wa 2017/2018.

“ Tumetoa mikopo ya jumla ya Sh 204,500,000 kwa ajili ya wanawake na vijana ambapo jumla ya vikundi 70 vya wanawake na 31 vya vijana walipatiwa mikopo” alisema Mgalula.

Mbali na mikopo alitaja mafanikio mengine ni ujenzi na ukarabati wa mabanda 14 na vizimba katika soko la Mawenzi , uendelezaji wa vituo vya Afya katika kata za Mafiga, Sabasaba , Kingolwira na Mafisa , pia kituo cha afya sina, Kihonda na Lukobe.

Pia alitaja mafanikio hayo ni pamoja na kuwezesha kaya masikini 2,621 katika Kata 29 za Manispaa ya Morogoro na kununuliwa kwa mapipa ya taka na kusambazwa katika vituo vya kukusanyia taka kwenye kata 13 kati ya 29 za Manispaa.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Regina Chonjo amewataka wananchi wa Manispaa  kulinda miundombinu ya barabara zilizojengwa kwa fedha za mikopo na kuwafichua wahujumu wa miundombinu hiyo ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria .

Mkuu huyo alitoa rai hiyo katika kikao hicho cha Kamati ya Ushauri ya wilaya baada ya watu wasiofahamika kung’oa taa saba za sola katika barabara ya kisasa iliyojengwa kwa kiwango cha lami nzito katika barabara ya Nane Nane .

“ Taa hizi za sola ni za kisasa na thamani ya taa moja ni Sh milioni nne na zaidi , watu wameziiba na kuisababishia hasara serikali na wananchi kwani hizo ni kodi za watanzania , lazima tuwafichue watu hawa waovu” alisema Chonjo.

Mkuu wa wilaya alisema , licha ya wizi wa taa hizo pia watu wasiofahamika wamevunja silingi bodi katika baadhi ya vyumba vya madarasa ya shule ya Sekondari Mgulasi na kuondoka nazo.

“ Naomba hapa kuna viongozi wa dini na wa vyama vya siasa , tuwe mabalozi wa kutoa elimu kwa wananchi kuwa miradi hii imejengwa kwa gharama kubwa na inatokana na fedha za kodi za watanzania , hatuna budi kuilinda na kuwafichua wahalifu hawa “ alisema Chonjo.

 Naye mkazi wa Manispaa hiyo, Sakina Bakari licha ya kujitokeza kwa wizi wa taa za barabarabani aliiomba halmashauri kuangalia barabara zenye uhatarishi nyakati za usiku na kuziwekea taa

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa