• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO YA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Posted on: February 22nd, 2025

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata Halmashauri ya    Manispaa ya Morogoro wamepewa mafunzo juu ya uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kuanza Machi 1-7,2025.Mafunzo hayo yamefanyika katika katika Ukumbi wa Bwalo la Umwema.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Afisa mwandikishaji ngazi ya Jimbo Ndg.Faraja Maduhu, ameanza kwa kuwapongeza kwa kuteuliwa kuwa waandikishaji wasaidizi na kuwaeleza anatarajia baada ya mafunzo hayo kila alietueliwa atafanikisha kwa weledi zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.

Aidha ameeleza kuwa mafunzo hayo yanajumuisha utumiaji wa mashine za BVR,na kuwasihi kwa wale ambao waliwah kushiriki zoezi hili katika kipindi kilichopita kuendelea kuwaelekeza waaandikishaji wasaidizi ambao ndio mara yao ya kwanza kushiriki zoezi hili.

Pia alieleza katika uboreshaji huu mawakala wa vyama vya Siasa wataruhusiwa kushiriki kwaajili ya kuwatambua wakazi wa maeneo husika,ila hawataruhusiwa kuingilia shughuli ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura.

Naye Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi,Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe.Jacob Mwambengele amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuzingatia yale yote wanayofundishwa,kwa kuwa wasikivu na kufuata sheria,kanuni za Uchaguzi.

Aidha amewalekeza wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata kuwasiliana na watumishi wa tume huru ya Uchaguzi endapo watakutana na changamoto yoyote wakati wa utekelezaji wa uboreshaji wa daftari la kudumu la Mpiga kura.

Zoezi hili la Uboreshaji wa Daftari la kudumu Mkoa wa Morogoro linatarajiwa kufanyika kuanzia Machi 1-7.2025 na sifa za wanahoitajika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura ni ambao wametimiza umri wa miaka 18 na kuendelea ambao hawakuandikishwa hapo awali,watakaotimiza miaka 18 kabla ya tarehe ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025,waliojiandikisha awali na wamehama Kata au Jimbo moja kwenda jingine,waliopoteza sifa mfano wale waliofariki kuondolewa katika Daftari,wenye taarifa zilizokosewa wakati wa uandikishaji na waliopoteza au kadi zao kuharibika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa