• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WICOF WAFANYA KONGAMANO KUBWA MJADALA WA MALEZI, FAMILIA ZAKUMBUSHWA KUZINGATIA WAJIBU WA MALEZI KWA WATOTO

Posted on: February 26th, 2023

AFISA Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Morogoro, Faraja Maduhu, ametoa wito wa kuwakumbusha Wazazi kutambua malezi bora kwa watoto kwa faida ya vizazi vijavyo.

Kauli hiyo ameitoa, katika Kongamano la Mjadala wa Familia ,kongamano lililoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la WICOF Chini ya Mkurugenzi wake Mwajabu Dhahabu katika Ukumbi wa Kilakala Soko Kuu la Chifu Kingalu Morogoro Februari 25/2023.

Maduhu,amesema kuwa wingi wa watoto waishio katika mazingira magumu umechangiwa na kuyumba kwa misingi ya malezi bora.

"Watoto wana haki zote ikiwemo kusikilizwa,kusomeshwa na kupendwa,sasa unamkuta mzazi hana muda na watoto matokeo yake wanaishia mitaani"Amesema Maduhu.

" Hakuna mzazi ambaye angependa hatima ya mwanaye iwe ya misukosuko lakini ni vyema kuangalia malezi wanayowapa watoto" Ameongeza Maduhu.

Aidha, Maduhu, amesema Asasi zisizo za Kiserikali wamekuwa wakitoa ushirikiano mzuri na Serikali katika kupunguza wingi wa Watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa kutoa elimu na kugharamia Miradi mbalimbali

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Wazazi CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Salum Kipira, amesema kama wazazi ndani ya familia hawaheshimiani, hawatoi picha ya thamani ya kuheshimiwa, vivyo hivyo watoto nao watakuwa na ujasiri wa kutoheshimu.

Naye Mkurugenzi wa WICOF , Mwajabu Dhahabu, amesema mzazi ana nafasi ya pekee katika kumwandalia mtoto hatima ya maisha na ni mtu anayemtunza, kumhudumia na kumfundisha mtoto mpaka akue na anaweza kumwambukiza tabia njema au mbaya.

"Si kitendo kibaya mtoto kujibizana na mzazi kwa kuwa kinampa mtoto mawanda mapana ya kuhoji kile ambacho hajaridhia kukitenda, tatizo ni pale linapokuja suala ambalo linahitaji nafasi ya mzazi ijidhihirishe kwa mtoto, lakini kwa kuwa mtoto amepewa uhuru uliopitiliza na mazoea yasiyokidhi viwango, anajiinua na kutaka kuififisha nafasi ya mzazi" Amesema Mwajabu.

Katika Kongamano hilo la Mjadala wa familia, vilendana sambamba na zoezi la uchangiaji wa damu pamoja na maonesho ya bidhaa za wajasiriamali.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa