• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

WILAYA YA MOROGORO YAADHIMISHA KWA PAMOJA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Posted on: April 26th, 2024

Wilaya ya Morogoro imeadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupanda miti, kufanya usafi wa mazingira, na kufanya mashindano ya uandishi wa insha kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.

Mengine ni bonanza la michezo, mahojiano na wazee kuhusu masuala ya muungano na kuwa na mkesha wa pamoja uliojumuisha kutazama na kusikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyorushwa moja kwa moja kutokea Ikulu, usiku wa tarehe 25.04.2024.

Hayo yamebainishwa leo tarehe 26.04.2024 na Katibu Tawala Msaidizi wa Wilaya ya Morogoro, ndugu Hilary Sagala, alipokuwa akizungumza na wananchi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo, katika kilele cha maadhimisho ya Siku Kuu ya Muungano, kilichofanyika kwenye eneo la stendi ya zamani ya daladala Manispaa ya Morogoro.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mheshimiwa Pascal Kihanga, amesema kwa tulipofika sasa, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hauwezi kuvunjika kwani  viongozi wa pande zote mbili wamekuwa wakiendelea kuhakikisha masuala ya muungano yanashughulikiwa ipasavyo kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Morogoro ndugu Emmanuel Mkongo, amewashukuru watu wote waliojitokeza kushiriki kwenye maadhimisho hayo na amewataka wananchi waendelee kuuenzi na kuulinda muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kuwa ni miongoni mwa tunu za Taifa la Tanzania.

Wilaya ya Morogoro inaundwa na Halmashauri ya Wilaya Morogoro na Halmashauri ya Manispaa Morogoro.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 July 14, 2023
  • ENVIRONMENT AND SOCIAL IMPACT ASSESSMENT April 24, 2024
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DKT.KIJAJI AFUNGA WIKI YA MAZIWA KITAIFA NA KUWATAKA WAFUGAJI KUZALISHA MAZIWA SALAMA KUENDANA NA USHINDANI WA SOKO LA MAZIWA.

    June 02, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUSAFISHA MAZINGIRA YAO MARA KWA MARA

    May 31, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA MKATABA WA LISHE

    May 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA MANISPAA YA MOROGORO.

    May 14, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa