• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

VISHOKA NA MADALALI WATAHADHARISHWA MRADI WA SOKO KUU LA KISASA MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: June 26th, 2020

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Bakari Msulwa , amewataka wafanyabiashara wasiokuwa na biashara (VISHOKA) katika mradi wa Soko Kuu la kisasa linalotarajiwa kufunguliwa kutojihusisha na

upangaji wa fremu wala Vizimba .


DC Msulwa ametoa agizo hilo leo Juni 25, 2020 wakati wa ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo Manispaa ya Morogoro ikiwemo Ujenzi wa Soko Kuu la Kisasa , Stendi Mpya ya Daladala Mafiga pamoja na Stendi ya Kaloleni.



“Kama huna biashara , huwezi kupangisha katika maeneo yetu ya Soko, tafsri ya haraka haraka wewe ni kishoka au dalali , maana utakuwa una wanyonga wale wenye uhitaji wakati wewe unatumiwa na watu, hatutaki vishoka katika miradi yetu, hii ni miradi ya wananchi, tunatambua ujanja wenu wa nyani, niwaagize Manispaa wekeni utaratibu wenu utakao wafanya wananchi wakapata maeneno haya kwa njia nzuri yenye amani, hatutokuwa tayari kumuingiza mtu ambaye anatumia mgongo wa mwenzake kuwanyonya wengine, simamieni hili ili mradi huu uweze kuwanaufaisha wananchi kama ilivyokusudiwa, jukumu lenu ni kufuatilia, kukemea na kuchukua hatua stahiki penye udhaifu na si vinginevyo,” Amesema DC Msulwa.





Amesema kama wapo watu wananmna hiyo hatawafumbia macho atahakikisha hawapati nafasi ya namna hiyo kwani kufanya hivyo ni kinyume na matarajio ya Soko hilo na kuwanyima haki wenye haki za kunufaika na mradi huo ambao ni kodi za Wananchi wanyonge.



Amesema ni vema kila mdau au kiongozi akatimiza wajibu wake ipasavyo katika kusimamia sheria na kanuni na utaratibu ili yale malengo ya kunufaisha wananchi yasije kugeuka vyanzo vya migogoro katika Wilaya yetu na Mkoa kwa ujumla.


Hata hivyo, amesema ameridhishwa na kasi ya miradi ya Manispaa ya Morogoro inayoendelea ambapo amewaomba Wakandarasi wa miradi hiyo kukimbizana na muda ili kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.



Amewaagiza wadau wote wanaohusika na mradi wa Soko kukutana nao kesho saa 1:30 kwa ajili ya kuangalia wapi wanakwama na ni njia gani zitumike ili mradi huo ukabidhiwe kwa wananchi.



Amesema kipindi hiki lazima wahakikishe wataalamu kwa kushirikiana na wakandarasi wanaongeza kasi zaidi kukamilisha miradi yote kwa wakati ili wananchi waendelee kupata huduma .



Mwisho ametoa wito kwa Wataalmu wampatie taarifa ya thamani ya miradi yote, ubora wa miradi, muda wa kukamilika kwa miradi pamoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa