• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Public Relation
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Maendeleo ya Jamii

1. Kuhakikisha kuwa kuna usawa wa Kijinsia katika jamii katika utekelezaji wa shughuli zote za kiuchumi na kijamii.

2. Kuwezesha jamii kwa kuwapatia mikopo midogo yenye riba nafuu ya 10% kwa vikundi vya kiuchumi vya Wanawake na Vijana ili waweze kujikwamua kiuchumi na kupambana na umasikini.

3. Kusajili vikundi vya kijamii na kuvihamasisha kufungua akaunti katika benki na kujiwekea akiba

4. Kuhamasisha na kuwawezesha wananchi kupanga mbinu za kutatua vikwazo vya maendeleo hasa vya maji na nishati kwa kuwa na miradi ya uvunaji wa maji ya mvua, majiko sanifu na uhifadhi wa vyanzo vya maji

5. Kuwezesha jamii kushiriki katika kubuni, kupanga, kutekeleza, kusimamia, na kutathimini mipango/miradi ya maendeleo

6. Kuhamasisha jamii na kuelimisha jamii kuondokana na mila na desturi zenye kuleta madhara kwa jamii na kuwa na mtizamo wa kupenda mabadiliko na maendeleo

7. Kuhakikisha haki za watoto zinalindwa na kutekelezwa  katika jamii.

8. Kutambua watoto waishio katika mazingira hatarishi na kuwapatia misaada.

9. Kuwezesha makundi maalum ikiwemo watu wenye ulemavu

10.Kuratibu na Kuhamasisha jamii kupamabana na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.

11. Kuratibu shughuli za miradi ya maendeleo kupitia mradi wa TASAF awamu ya III kwa usaidia kaya masikini

12. Kuhamasisha na kuwawezesha wananchi kupanga na kutekeleza kazi za maendeleo ambazo ni pamoja na usafi wa mazingira, ujenzi wa nyumba bora, ujenzi wa shule, zahanati, majosho, barabara, uchimbaji wa visima vifupi na shughuli zingine zote za maendeleo.

13. Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera na Sheria mbali mbali za Taifa. Sera na Sheria hizo ni Sera ya maendeleo ya Jamii Jinsia na watoto ya Mwaka 2000, Sheria ya Mtoto  ya mwaka 1996, 2008, Sheria ya watu wenye ulemavu ya Mwaka 2010 n.k

14. Kushirikisha jamii katika kubuni na kupanga miradi mbali mbali ya Maendeleo.

15. Kuratibu shughuli za Asasi za kiraia na zisizo za kiserikali zinazofanya kazi katika Halmashauri.

16. Pia Idara ni kiungo cha wananchi na wadau mbali mbali wa maendeleo katika shughuli mbalimbali za kuiletea jamii maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ORODHA YA MADEREVA NA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA III WALIOITWA KUFANYA USAILI TAREHE 29/08-1/09/2022 August 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC NSEMWA AWATAKA WADAU WA SANAA KUCHANGAMKIA MKOPO WA ASIMILI 10 WA HALMSHAURI

    March 10, 2023
  • KATA YA SABASABA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE UHITAJI.

    March 07, 2023
  • MBUNGE MZERU AAHIDI MILIONI 1.5 KUTUNISHA MFUKO WA JUKWAA LA WANAWAKE KIHONDA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    March 07, 2023
  • DIWANI CHOMOKA KUJA NA MKAKATI WA KUVISAIDIA VIKUNDI KUPATA MASOKO.

    March 06, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa