• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

Mipango, Takwimu, na Usimamizi

DIVISHENI YA MIPANGO NA URATIBU

Lengo

Kutoa utaalamu na huduma katika mipango, bajeti, usimamizi na tathmini.

Divisheni inatekeleza majukumu yafuatayo:-

  • Kuandaa mikakati, mipango na bajeti za muda wa kati na mrefu;
  • Kusimamia na kutathmini utekelezaji wa mikakati, mipango na bajeti;
  • Kuandaa na kupitia upya wasifu wa uchumi wa Serikali za Mitaa;
  • Kuratibu utekelezaji wa ushiriki wa sekta binafsi;
  • Kuratibu ukusanyaji wa data, uchambuzi, utafsiri na uhifadhi kwa Serikali za Mitaa;
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu michakato ya usimamizi na tathmini;
  • Kuratibu Usimamizi wa Majanga wa Halmashauri; na
  • Kuratibu shughuli za Serikali za Mitaa zilizotekelezwa na taasisi zingine kama vile ardhi na maji.

Divisheni hii inaongozwa na Mkuu wa Divisheni na ina seksheni mbili kama ifuatavyo:-

  • Seksheni ya Mipango na Bajeti; na
  • Seksheni ya usimamizi na Tathmini.
  • Seksheni ya Mipango na Bajeti

Seksheni hii inatekeleza shughuli zifuatazo:-

  • Kuratibu utekelezaji wa sera za sekta za uchumi na uzalishaji;
  • Kufafanua na kusambaza sera za Wizara Kuu na Sekta pamoja na Serikali za Mitaa;
  • Kuratibu mapitio ya utendaji ya katikati ya mwaka na ya mwishoni mwa mwaka;
  • Kuratibu uundaji na uandaaji wa mipango na bajeti za Serikali za Mitaa;
  • Kuunganisha taarifa zinazohusu miradi, program na mipango ya utendaji na kuweka mikakati ya uandaaji wa rasilimali/malighafi.
  • Kutoa mwongozo wa kitaalamu na usaidizi kwa ajili ya kurasimisha mchakato wa upangaji wa kimkakati na bajeti ndani ya Manispaa; na
  • Kuratibu maandalizi ya taarifa za utekelezaji wa Ilani ya Chama Tawala.

Seksheni hii inaongozwa na Afisa Anayehusika.

Seksheni ya Usimamizi na Tathmini

Seksheni hii inatekeleza shughuli zifuatazo:-

  • Kusimamia na kutathmini utekelezaji wa mipango ya Serikali za Mitaa;
  • Kuandaa taarifa za utendaji za mara kwa mara;
  • Kutoa mawazo katika maandalizi ya shughuli za mipango, program na bajeti ikiwa ni pamoja na kuanzisha malengo na viashiria vya utendaji;
  • Kutoa ushauri wa kitaalamu ikiwa ni pamoja na kuasisi mchakato wa Usimamizi na Tathmini;
  • Kufanya tafiti zenye matokeo kwenye mipango, miradi na program zinazotekelezwa na Serikali za Mitaa;
  • Kuratibu uzalishaji wa data na takwimu za kawaida katika sekta zote;
  • Kushirikiana na NBS katika ukusanyaji wa data, kuziingiza, kuzichambua na kuzitafisiri;
  • Kuratibu maandalizi na usambazaji wa wasifu wa kijamii na kiuchumi;
  • Kuanzisha na kubuni zana za kukusanya data;
  • Kuratibu uzalishaji wa data na takwimu za kawaida katika sekta zote;
  • Kuratibu maandalizi na usambazaji wa wasifu wa kijamii na kiuchumi;
  • Kuanzisha na kubuni zana za kukusanya data;
  • Kushirikiana na NBS katika kukusanya data, kuziingiza, kuzichambua na kuzitafsiri;
  • Kutoa msaada wa takwimu wakati wa kupanga na kuandaa bajeti;
  • Kutoa msaada wa takwimu wakati wa kupanga na kuandaa bajeti;
  • Kuratibu utekelezaji wa mikataba ya utendaji; na
  • Kufanya uchunguzi wa utaoaji huduma.

Seksheni hii inaongozwa na Afisa Anayehusika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa