• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Public Relation
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

KITENGO CHA TEHAMA NA TAKWIMU.

1. UTANGULIZI

Kitengo cha TEHAMA ndicho chenye mamlaka ya kusimamia Mifumo yote iliyosimikwa ndani ya Manispaa ya Morogoro kama vile LGRCIS, LAWSON, FFARS, GoT-HOMIS, BEMIS, PREM, EPICOR, PLANREP, TASAF, SELFORM, Tovuti ya Manispaa na mingine, pamoja na vifaa vyote vya Tekinolojia katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

2. MAJUKUMU YA KITENGO

Kitengo cha TEHAMA kinafanya kazi mbali mbali katika kuboresha matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Halmashauri ili kuendana na wakati na kufanikisha urahisishaji wa kazi katika matumizi ya Mifumo mbali mbali  ya  Kompyuta inayotumika katika Idara za Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, kuhakikisha Wananchi na Wakazi wa Morogoro wanatumia TEHAMA katika shughuli zao na kuwapunguzia usumbufu wa kupata mahitji yao Kama ilivyoainishwa katika ilani ya Chama Tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) Sura ya nne SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU (Ukurasa wa 151 mpaka 154)

 Mchanganuo wa kazi ni kama ilivyo aninishwa hapa chini:

  •  Kusimamia mifumo yote ya kompyuta iliyosimikwa  ofisi zote za Manispaa 
  • Kuhakikisha mtandao (internet) unapatikana kwa muda wote na kwa ubora unaohitajika 
  • Kutoa elimu kwa Jamii jinsi ya matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii faida na Hasara zake
  • Kuhakikisha vifaa vya TEHAMA vinafanya kazi kama vile Kompyuta, Scanner, Photocopy, Printers 
  • Kuboresha Miundombinu ya mtandao wa ndani  (Local Area Network  ‘LAN’) katika ofisi za Manispaa ya Morogoro
  • Kutoa usaidizi wa kiufundi , kitaalamu, ushauri na kutatua matatizo ya vifaa vya kielekroniki na Mifumo iliyopo.
  • Kutoa mafunzo mbalimbali ya mifumo yote ya serikali kwa watumishi wote kadri maboresho yanavyofanyika.
  • Kusimamia na kuboresha mfumo wa mapato wa Manispaa ya Morogoro na kuhakikisha matumizi ya POS katika maeneo yote ya Makusanyo ya mapato.
  • Kukagua/Kutengeneza POS machine zote kila baada ya wiki moja ili kuhakikisha hakuna mapato ya Serikali yanayopotea kwa kutumia POS tofauti na Maelekezo


Matangazo

  • TANGAZO LA UUZWAJI VIWANJA ENEO LA KIEGEA A NA B December 02, 2022
  • ORODHA YA MADEREVA NA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA III WALIOITWA KUFANYA USAILI TAREHE 29/08-1/09/2022 August 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 06, 2022
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • DC NSEMWA AWATAKA WADAU WA SANAA KUCHANGAMKIA MKOPO WA ASIMILI 10 WA HALMSHAURI

    March 10, 2023
  • KATA YA SABASABA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAKUMBUKA WATOTO WENYE UHITAJI.

    March 07, 2023
  • MBUNGE MZERU AAHIDI MILIONI 1.5 KUTUNISHA MFUKO WA JUKWAA LA WANAWAKE KIHONDA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    March 07, 2023
  • DIWANI CHOMOKA KUJA NA MKAKATI WA KUVISAIDIA VIKUNDI KUPATA MASOKO.

    March 06, 2023
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa