• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

BILIONI 19 KUTEKELEZA MRADI WA TACTICS MANISPAA

Posted on: October 23rd, 2023


MANISPAA ya Morogoro inatarajia kutumia kiasi cha Shilingi Bilioni 19, 606,559.46 kutoka Serikali Kuu kutekeleza mradi ya Tactics utakaosimamiwa na mtaalamu mshauri wa miradi kutoka kampuni ya ujenzi ya MHANDISI (Consultancy) LTD, na kutekelezwa chini ya Kampuni ya ujenzi ya M/s Jiangxi Geo-Engineering (Group) Corporation.

Akizungumza katika utambulisho wa mradi huo tarehe 23.10. 2023 kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisi Kuu ya Manispaa , Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, ndugu Winfred Kipako, amesema Manispaa ya Morogoro ni miongoni mwa Halmashauri 12 zinazotekeleza mradi wa TACTICS nchini, kwa awamu ya kwanza, na kwamba Manispaa itanufaika na mradi huo kwa ujenzi wa barabara za lami nzito zenye urefu wa KM 20.59, katika maeneo ya Muhimbili, Tubuyu II, Mjimwema, Barakuda na Kihonda-VETA, vilevile kutakuwa na ujenzi wa mifereji ya maji ya (ANT Mlaria na Kikundi), itakayosaidia kuondoa adha ya mafuriko katikati ya mji.

Vilevile, ndugu Kipako amewataka wakandarasi na mtaalamu mshauri wa mradi huo kuhakikisha wanafanya kazi kwa ufanisi na kwa uzalendo kwa manufaa ya wana Morogoro huku akiwataka wananchi wa Manispaa ya Morogoro kuwajibika ipasavyo katika kufanikisha utekelezaji wa mradi huo kwa ubora, kwa kipindi chote cha utekelezaji waa mradi.

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mheshimiwa Pascal Kihanga, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mradi huu mkubwa ambao unakwenda kuifungua zaidi Manispaa.

“Niombe wananchi ambao mtapisha ujenzi huu, mara mpatapo malipo yenu mpishe kwa wakati ili mradi uende kadri ulivyo pangwa lakini wananchi niombe mlinde na kuitunza miundombinu ambayo Serikali inawekeza kwa fedha nyingi” Amesema Mheshimiwa Kihanga.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Morogoro, ndugu Jeremiah Lubeleje, amewaomba TANESCO, MORUWASA na TTCL kuwa na mpango mkakati wa haraka wa kuondoa miundombinu ambayo itapitiwa na mradi ili utekelezaji ukamilike kwa wakati.

Kwa mujibu wa ndugu Lubeleje, mradi wa TACTICS unatazamiwa kutekelezwa kwa kupindi cha miezi 15 kuanzia Novemba 20.2023 hadi Februari 19.2025 huku kipindi cha matazamio ikiwa ni mwaka mmoja mpaka Februari 18. 2026.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa