• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

BODABODA MORO WAAMBIWA “WANAFUNZI WAKIKE NI HATARI KWAO” WAACHE TABIA YA KUWARUBUNI WATAZEEKEA JELA.

Posted on: October 26th, 2019

Ofisi ya Mashtaka  ya mkoa wa Morogoro imewaonya  baadhi yavijana wa Bodaboda kuachana na tabia ya kuwafuatilia na kuwarubuni wanafunzi wakike wa shule za msingi na sekondari kwani watajikuta wakifungwa miaka 30 nakuzeekea jela.

Mkuuwa Mshitaka mkoa wa Morogoro , Neema Haule alisema hayo kwenye hotubayake  wakati wa maadhimisho ya siku ya huduma ya msaada wa kisheriangazi ya kimkoa iliyofanyika  Oktoba 23, 2019   katikaviwanja vya Ofisi ya  Mtendaji  Kata ya Chamwino, Manispaaya Morogoro.

Pamojana  tahadhari  hiyo imesema pia,   ipo hajaya kutolewa elimu kwa wananchi  wa  mkoa huo kuhusu sheriaza makosa mbalimbali yakiwemo ya ubakaji kwa vile,  imebainika  kuwavijana wanaojihusisha  na  boda boda  kuanziaumri wa  miaka 19 wamekuwa  wakikutwa na hatia ya makosa yaubakaji wanafunzi wa kike na kufungwa  miaka 30 jela.

Alisema,ni vyema ikatengwa  siku muafaka ya kukaa na kuratibu migogoro ya wananchiinayojitokeza kwa kushirikiana kati ya timu ya uongozi wa halmashauri za wilaya,  wadau na  Ofisi ya mkuu wa wilaya.

Haulealisema  ,wakati mwingine wananchi wanahitaji kujua sheria zinasemajena watu kuelimishwa  aina mbalimbali ya makosa na  adhabuzake yakiwemo ya  makosa ya ubakaji watoto chini ya umri wa miaka 10pamoja na wanafunzi wa shule .

 “Tunajukumu kubwa kazi ya mitaa , kitongoji , kijiji na kata ya kuelimishawananchi hasa bodaboda  waache kuwafualiawanafunzi  wakike…ninasema hivyo kwa sababu mimi ndiye ninayesomamashikata yote yanayokuja mezani kwangu “ alisema Haule na kuongeza.

“Nasikitika sana bodaboda ana miaka 19 , anakwenda kufungwa miaka 30 , akitokahuko anakuwa babu , hana mtoto, hana kitu chochote anakuwa ameshazeeka , tegemezihata nguvu za kuzaa tena hazipo, lazima niseme ukweli ” alisisitiza Haule.

Mkuuwa Mshitaka wa mkoa huyo alitumia fursa hiyo kuwatahadharisha Boda boda kuwawabadirike na  kuacha tabia ya kuwafuatafuata wanafunzi wa shule nakuwaona ni hatari kwao.

 ‘Najua wengi mpo hapa leo ( jana ) na muelezane huko vijiweni wanafunzi wa kikeni hatari , unaenda kumchukua ameridhia mwenyewe , lakini chini ya miaka 18 ,sheria haiangalii hiyo ya kuridhia kwake , sheria inamtambua ni mtoto hivyo waogopwekama ukoma” alisema .

Pamojana hayo , alisikitishwa kuona  watoto wanabakwa halafu wazazi hasaakina mama wanakwenda  kuelewana  na upande wapili  na kumfanya mtoto asiende kutoa ushahidi.

“Mkoa wa Morogoro umekuwa ni waajabu sana , watoto wanabakwa , halafu mamaanakwenda kuelewana na upande wapili ‘ alisema na kuongeza.

“Haya mambo tumekuwa tukiyashuhudia , ni jambo la kusikitisha sana , tunaombaakina mama mbadirike , tumtendee haki mtoto yule ambaye kwa sasahana  sauti kwa wakatu huu , lakini kesho na kesho kutwa ni nguvu yataifa“ alisema Haule.

Kwamujibu wa Mkuu wa Mshitaka wa mkoa kuwa  , sheria inasema mtotoakibakwa akiwa chini ya umri  wa miaka 10,  mtuatakayekutwa na hatia hiyo  anafungwa kifungo cha maisha jela.

Piaalitoa wito kwa kila kijiji, kata wilaya na mkoa kuimalisha kamati zakutokemeza ukatili kwa wanawake na watoto na hilo si kwa viongozi pekee bali nawananchi kwa ujumla wao.

Haule,  pia  alisikitishwana taarifa iliyoonesha kuwepo kwa  idadi kubwa ya  watuwaliojitokeza  kuwasilisha malalamiko  mbalimbali mbele yawatoa huduma na serikali  na hilo linaonesha udhaifu kwa watendaji wangazi mbalimbali ndani ya mkoa ya  utoaji wa haki kwa wananchi.

“Hii haikubaliki hata kidogo , lazima watoa huduma , wanasheria na wataalaamuwasimamie  suala hili na wahakikishe wanajipanga ilib mkoa huu uwehuru kutokana na kero hizi’ alisema Haule .

NayeMratibu wa Maadhimisho hayo , Erasto Mfugale  alisema ,kwa mwakammoja uliopita (2018) watu 4,534 kati ya hao  wanawake 2,877 nawanaume 1,657 walijitokeaa kuwasilisha malalamiko yao mbalimbali mbele ya watoahuduma na serikali .

Mfugalealitaja kesi za ardhi ziliongoza  kufikia 1,122 na kuchukua asilimia25 ya watu wote , migogoro ya ndoa  951 sawa na asilimia 21 , matunzoya watoto   kesi  867 sawa na asilimia 19, mirathi404, madai 428, kesi za jinai 102, ukatili wa kijinsia watu 362,  kesi za kazi 166  na kesi nyinginezo ni 132.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa