• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC AWASISITIZA WADAU KUTOA ELIMU NA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2019

Posted on: October 2nd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Regina Chonjo amewasisitiza wadau kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha,kuchagua viongozi walio bora katika uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 24/11/2019.

Chonjo ameyasema hayo wakati wa kikao cha wadau wa Uchaguzi na kueleza kuwa Serikali za mitaa zimeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hivyo uchaguzi wa Serikali za mitaa ufanyika kila baada ya miaka mitano kwa kuzingatia matakwa ya sheria.

Aidha alieleza kuwa Manispaa imejipanga kuendesha uchaguzi katika mazingira ya haki na usawa kwa kuzingatia misingi ya uhuru wa kidemokrasia hivyo aliwasisitiza wadau kuwa mabalozi wazuri kuelimisha wananchi juu ya kujiandikisha na kupiga kura na kujiepusha na vitendo vya rushwa ili kuweza kupata viongozi bora watakaosaidia kufanikisha jitihada za Serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe.Dkt John P.Magufuli.

Naye msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini Ndg Waziri Kombo ameeleza kuwa uandikishaji wa wapiga kura utaanza kuanzia tarehe 8/10/2019 hadi 14/10/2019 na vituo vitafunguliwa kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa 12:00 jioni.

Kombo amebainisha sifa za mpiga kura kuwa anatakiwa kuwa raia wa Tanzania,awe na umri wa kuanzia miaka kumi na nane au zaidi,awe hana ugonjwa wa akili,na awe amejiandikisha kupiga kura katika mtaa husika.Aidha ameeleza mwananchi atakosa sifa za kupiga kura endapo atakosa sifa zilizobainishwa na endapo atakuwa amejiandisha kupiga kura katika kituo zaidi ya kimoja.

Aidha Kombo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kuchukua fomu za kugombea zitakazotolewa tarehe 29/10/2019 hadi 4/11/2019 na uteuzi wa wagombea utafanyika tarehe 5/11/2019.

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ina tarafa moja na kata 29 na inatarajia kuwa na wapiga kura 177,000,na kila mtaa utakuwa na kituo cha kuandikisha na kupigia kura ambavyo vitapatikana katika majengo ya umma na maeneo ya wazi.  

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa