• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC CHONJO AWAPA SIKU SABA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO KURUDI KATIKA MASOKO YALIYOTENGWA

Posted on: June 19th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bi Regina Chonjo amewaagiza wafanyabiashara(wamachinga) wote waliopanga bidhaa chini katikati ya mji kurudi katika masoko ndani ya siku saba kuanzia jana tarehe 19/06/2018.

Mkuu huyo wa Wilaya alizungumza hayo wakati wa ziara aliyofanya jana ya kukagua masoko yote yaliyopo ndani ya Manispaa ya Morogoro na kukuta vizimba na vioski vingi vikiwa wazi baada ya kuachwa na wafanyabiashara na wengi kukimbilia mjini kwa lengo la kufata wateja .Ziara hiyo ilihusisha soko la Nanenane,Mazimbu,Mawenzi Manzese na Mnada wa Kikundi.

Katika ziara hiyo soko la Nanenane liligundulika kuwa na vioski 202,vinavyotumika ni 10,vizimba 208 vinavyotumika ni 9, wakati soko la Mazimbu lina vizimba 380 na vinavyotumika ni 40 tu na vioski 161 ila vinavyofanya kazi ni 7 tu na katika soko Manzese kuna vizimba 1080 ila vinavyotumika ni 480 na vioski na soko la Mawenzi kuna jumla ya vizimba 883 ila vinavyotumika ni 852 na kuna jumla ya vioski 82 ila vinavyotumika ni 82.Aidha katika soko la Mawenzi ilielezwa kuwa baadhi ya wafanyabiashara wamehama na kuhamia mjini kati kwaajili ya kufanya biashara.

"Lengo lilikuwa ni kuwasidia wakina mama ambao wana mitaji midogo na wanaotembeza biashara zao katikati ya mji ila kilichotokea ni wafanyabiashara wamekuwa wakihama katika masoko na kuleta bidhaa katikati ya mji na kufanya soko katika maeneo ya barabara kuu,kitu ambacho ni hatari ata kwa wapita kwa miguu na magari".Alisema Mkuu  uyo wa Wilaya.

Aidha ameuagiza uongozi wa Manispaa kufunga magenge bubu yote yaliyoanzishwa mitaani ili kufanya biashara za masoko ziweze kushamiri na wafanyabiashara kulipa kodi kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa