• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC MORO ATAKA UJENZI WA SHULE MPYA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA KUDUMU UPUNGUFU WA VYUMBA VYA MADARASA KIDATO CHA KWANZA.

Posted on: January 7th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Regina Chonjo amelishauri Baraza la Madiwani la Manispaa ya Morogoro kutenga fedha za ujenzi wa shule mpya za Sekondari na kulitaka kuhakikisha wanafunzi wote waliochanguliwa kidato cha kwanza mwaka 2019 wanakuwa madarasani katika muda uliopangwa .

Chonjo alisema hayo kwenye kikao cha dharura cha baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kilichokutana  na kufikia maazimio ya kukutana na wadau wa maendeleo ili kuwashirikisha katika kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa.

Lengo ni kwa ajili ya kukabiliana na wimbi kubwa la wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu.

“ Pamoja na mipango yetu ya muda mfupi ya sasa ya kukabili changamoto hii , pia ni baraza hili sasa lipange mkakati wa kuwa na bajeti ya kujenga shule mpya za sekondari ili tuondokane na na changamoto za kila mwaka za upungufu wa vyumba vya madarasa” alisema Chonjo.

Naye Ofisa Elimu Sekondari Manispaa ya Morogoro George Obutu ,alitoa taarifa yake kwenye kikao hicho alisema ,madarasa yaliyopo ni 65 na upungufu ni madarasa 60 .

Alisema , licha ya ongezeko la wanafunzi, bado kuna umuhimu wa wazazi na wadau wengine wa maendeleo ya sekta ya elimu kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa na umaliziaji wa maboma ya yaliyotelekezwa kwa muda mrefu.

Hata hivyo alisema ,fedha za kumalizia vyumba vya madarasa katika shule saba za sekondari tayari zimepelekwa na hatua ya ujenzi huo unaendelea kwa lengo la kuwawezesha wanafunzi waliochanguliwa wote kuwa madarasani .

Obutu alisema, hatua za awali zilizochukuliwa ni kuanzisha wanafunzi kusoma kwa awamu mbili kwa siku asubuhi na mchana , lengo ni kuwezesha wanafunzi wote waliochanguliwa kidato cha kwanza wanakuwa madarasani kuanzia Januari 7, mwaka huu.

Nao baadhi ya madiwani walichangia katika kikao hicho kwa nyakati tofauti waliafikiana na maazimio hayo pamoja na kutaka kila mwaka Kata zipatiwe fedha za kuendeleza majengo ya shule za sekondari na  shule za msingi kwa kuwa kila mwaka kuna ongezeko kubwa la wanafunzi wanaoandikishwa na kufauli mitihani ya darasa la saba .

Ofisa Elimu mkoa wa Morogoro Mhandisi Joyce Baravuga, kupitia tarifa yake katika kikao cha wadau wa elimu mkoa , alibainisha kuwa , Manispaa ya Morogoro ina mahitaji ya vyumba 129 vilivyopo ni 60 na upungufu ni 69 huku ikiwa imepangiwa jumla ya wanafunzi 6,431 kati yao wavulana ni 3,096 na wasichana 3,335.

Pia Manispaa  inakabiliwa na upungufu wa vyumba vya maabara ambapo mahitaji yake ni 69 na vilivyopo 13 hivyo upungufu ni vyumba 56.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa