• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC MORO AWAPA SIKU SABA WANAOFYATUA NA KUCHOMA TOFARI KANDO YA BARABARA NA DARAJA LA MTO MORO KUFUNGASHA VIRAGO

Posted on: August 29th, 2018

MKUU wa wilaya ya Morogoro,Regina Chonjo ametoa siku saba kufungasha virago watu wanaojishughulisha kuvyatua na kuchoma matofari kando ya barabara na daraja la mto Morogoro katika barabara ya mei mosi iliyojengwa kwa kiwango cha lami nzito ili kulinda hifadhi ya mazingira kwa mujibu wa sheria.

Barabara ya hiyo ni kisasa iliyokamilishwa kujengwa mwaka mmoja uliopita ina urefu wa kilometa 5.1 na iligharimu kiasi cha Sh 11,805,176,469.00 ambayo ni fedha za mkopo kutoka Benki ya Dunia.

Mkuu wa wilaya alitoa muda wa siku hizo Augost 28, 2018 kwa nyakati tofauti akiwa kwenye mkutano na wananchi uliofanyika Ofisi ya Kata ya Kichangani pamoja na wahusika wa ufyatuaji na uchomaji wa matofari kando ya barabara hiyo eneo la kata ya Kichangani.

Chonjo alifanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa barabara mpya za kiwango cha lami nzito ya Tubuyu, Nane Nane , Maelewano zenye jumla ya urefu wa kilometa 4.6 pamoja na kipande cha barabara cha urefu wa mita 275 kilichonjengwa ili kuunganisha na barabara hizo ambazo zilitengewa kiasi cha Sh 12,630,868,635 .

Alisema ,wapo watu wachache wanaojishughulisha na uchomaji wa matofari na wamechimba udongo hadi kando kando ya barabara na kwenye daraja na kuhatarisha uhai wa daraja hilo ikiwa na kuacha mashimo jambo ambalo halikubaliki kamwe.

“ Wale wanaochoma matofari wameendelea kusogea kuchimba udongo hadi kwenye kingo za barabara na daraja , likivunjika daraja hili ni adha kubwa kwa watu wengi wanatumia barabara hii “ alisema Chonjo .

Alisema ,imejengeka tabia kutoka kwa baadhi ya wananchi ya kuharibu miundombinu ya barabara baada ya miradi kukabidhiwa kwa halmashauri ikiwemo na kuchimbua kokoto zilizopo mpembezoni na kung’oa taa za barabarani kitendo kinacho hatarisha uhai na usalama wa miundombinu kwa manufaa ya jamii.

“ Hawa wanaochoma matofari nawapa siku saba waondoe matofari yao na wafukie mashimo yaliyosogerea barabara na daraja na Ofisa Mazingira wa Manispaa simamia zoezi hili waongoze waondoe tofari na kufukia mashimo .

Chonjo alisema ,barabara hizo zimejengwa kwa kutumia fedha nyingi za serikali ,hivyo ni wajibu wa wananchi wanaopitiwa nazo kuzitunza na kuwa walinzi wa kuwafichua wanaohujumu miundombinu ili waweze kushughulikiwa na vyombo vya dola.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa