• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu, na Usimamizi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC MSANDO AKABIDHI MCHORO WA KIMKAKATI KWA WANANCHI WA STAR CITY KIEGEA A NA B

Posted on: July 14th, 2022

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Albert Msando, amekabidhi mchoro wa kimkakati wenye lengo la kuujenga Mji wa Kiegea A na B eneo la Star City Manispaa ya Morogoro.

Mchoro huo amekabidhi Julai 14/2022 katika mkutano wake na wananchi wa eneo hilo ikiwa ni maandalizi ya kuupanga mji huo.

Akizungumza na Wananchi hao, DC Msando,amesema kuwa Wananchi wa Star City watembee kifua mbele kwani wanakwenda kumiliki ardhi yao waliyokuwa wakiisubiria kwa muda mrefu kufuatia eneo hilo kuwa na sintofahamu na mwekezaji.

Pamoja na kukabidhi ramani hiyo, DC Msando, amesema mji huo wameupanga na kuwa mji wenye hadhi ya kipekee ambao utakuwa na huduma zote muhimu za kijamii na kufungua fursa za ajira kwa wananchi wa eneo hilo.

“Tumewaletea huu mchoro, tulianza na upimaji tukiwa na lengo la kila mwananchi aliye na kipande kuhakikisha anakuwa na hati yake miliki ili kujiletea maendeleo, niwaombe baada ya kumiliki haya maeneo msiyauze ,yatunzeni kwa ajili ya vizazi vyenu vya baadae ardhi ni hazina, hata mjini nako kulikuwa kama hivi” Amesema DC Msando.

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Ally Machela, amesema kwa sasa hatua inayofanyika ni kuhakikisha mji huo unachongwa barabara zote kabla hawajatoa maelekezo ya ujenzi wa nyumba kufuatia kukabidhiwa ramani hiyo.

Machela, amesema kwa sasa Mji unahitaji kupangwa hivyo wananchi lazima wasikilize maelekezo na maagizo ya viongozi badala ya kukiuka maagizo hayo.

Naye , Afisa Mipango Miji Manispaa ya Morogoro, Emeline Kihunrwa, amesema kwa sasa timu ipo kazini kuhakikisha eneo hilo lote lenye hekari 4500 linapimwa na kupangwa ili wananchi waweze kupata hati zao.

Upande wa Mwananchi, Elizabeth Chigua, ameshukuru Uongozi wa Mkoa, na Wilaya kwa kuchukua hatua za kuwatambua na kuwamilikisha ardhi baada ya muda mrefu kuitwa wavamizi.

“SENSA KWA MAENDELEO ,JIANDAE KUHESABIWA TAREHE 23/08/2022”

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA MOROGORO May 23, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WATENDAJI WA MITAA DARAJA LA TATU TAREHE 20/6/2020 June 12, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI MKUU October 20, 2020
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWAN TAREHE 19.08.2021 August 18, 2021
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATOA NENO KUHUSU UTAPIAMLO.

    August 05, 2022
  • MANISPAA MORO YAOMBA USHIRIKIANO NA TIC KUTANGAZA MAENEO YAKE YA UWEKEZAJI

    August 03, 2022
  • MAONESHOYA NANENANE KANDA YA MASHARIKI YAANZA KWA KASI MKOA WA MOROGORO

    August 01, 2022
  • LUKWELE APITA KWA KISHINDO UCHAGUZI NAIBU MEYA MANISPAA YA MOROGORO

    July 20, 2022
  • Angalia Yote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA MOROGORO WAZIRI KOMBO ATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOFANYIKA NOV.24/2019.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa