• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC MSANDO ATOA SIKU 21 KUIMARISHWA KWA KAMATI ZA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO NA WANAWAKE NGAZI ZA KATA

Posted on: February 7th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Albert Msando, ametoa siku 21 kwa Uongozi wa Manispaa ya Morogoro , kuimarishwa kwa Kamati za ulinzi na usalama wa mtoto na  wanawake katika ngazi za Kata ili zitumike kukabiliana na vitendo vya ukatili.

Kauli hiyo, ametoa  Februari 07/2022 wakati wa Uzinduzi wa Kituo Cha Pamoja cha huduma ya mkono kwa mkono kwa watu waliofanyiwa ukatili (ONE STOP CENTRE) kilichopo katika Kituo cha afya cha Sabasaba Manispaa ya Morogoro.

Katika hatua nyingine, DC Msando, ametoa wito kwa mamlaka zinazosimamia kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake kusimamia uharakishaji wa kesi hizo na waliotendewa vitendo vya ukatili waweze kupata haki zao.

"Shughulikieni kesi hizi za ukatili mapema, kesi hizi za ukatili zikiachwa muda mrefu zinapoteza ushahidi hivyo wahusika wanakosa haki zao zinazostahili na kuzidi kuathirika kisaikolojia na kufanya jitihada za kutokomeza vitendo hivyo kusuasua, hakikisheni mnazimaliza mapema na katika Kituo hiki fungueni majarada kwa wazazi wanaokwepa majukumu yao "Amesema DC Msando.

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amewataka wazazi kushirikiana katika malezi na kuwajibika ili kuwalinda watoto kutofikia hatua ya kukinzana na Sheria.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa Taasisi ya SAWA WANAWAKE TANZANIA, Bi. Hellen Nkarang'ango, amewaomba watakaosimamia Jengo hilo watoe huduma bora na kutimiza wajibu wao na kuzingatia ili kuweza kitimiza adhma ya ulinzi na usalama wa wanawake na watoto.

Bi. Hellen ,amesema kuwa Jengo hilo limejengwa kwa ufadhili wa J-Hope kwa kushirikiana na SAWA WANAWAKE TANZANIA, limegharimu kiasi cha shilingi Milioni 137 hadi kukamilika kwake ikijumuisha na samani zake.

Wakati huo huo, Mkurugenzi wa Mtandao wa Elimu Tanzania, Ochola Wayoga, amesema ipo haja kwa kamati zitakazoundwa kupatiwa mafunzo ya kutosha kwani malengo ya mafunzo hayo ni kuiwezesha kamati ya ulinzi na usalama wa mwanamke na mtoto kutekeleza vyema Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto ambao unalenga kusimamia haki na maendeleo ya mtoto na kuzuia ukatili dhidi ya mwanamke na mtoto na kuhakikisha wanapata haki zao na kutimiza wajibu wao vyema.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa