• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DC MSULWA AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KULETA MAENDELEO.

Posted on: December 14th, 2020

MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro wametakiwa kushirikiana na Wananchi pamoja na Watumishi ili kuhakikisha maendeleo katika Kata zao na Halmashauri kwa ujumla.

Akizungumza na Waandishi wa habari, DC Msulwa, amesema kuwa ushirikiano ni chanzo cha mafanikio katika maeneo yoyote hivyo ili kuleta maendeleo katika kipindi hiki cha miaka mitano suala la ushirikiano linatakiwa kupewa kipaumbele .

DC Msulwa, amesema kuwa , Madiwani peke yao hawawezi kutimiza suala la Maendeleo ndio maana Serikali iliweka watumishi katika Halmashauri ili watoe ushirikiano katika kusimamia maendeleo.

Amewataka Madiwani kuhakikisha wanakwenda kusimamia shughuli zote ambazo zinaingiza kipato cha Halmashauri na kuwa mstari wa mbele kupambana katika ukusanyaji wa mapato katika vyanzo vyao ili kuifanya Manispaa kutokuwa tegemezi wa Serikali kuu.

“ Wananchi waliwaamini ndio maana waliwachagua , hivyo ninaimani watatoa ushirikiano wa hali ya juu kwenu katika kutekeleza masuala ya Kimaendeleo, cha msingi kuwa na Umoja baina yenu, Madiwani, Watumishi wa Halmashauri na Wananchi “ Amesema DC Msulwa.

Kwa upande wa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Mhe. Pascal Kihanga, amesema ili kuleta maendeleo katika Halmashauri , Madiwani wanatakiwa kuweka kando tofauti zao ili kufanya kazi kwa pamoja na kuangalia maslahi ya Wananchi badala ya kuangalia maslahi ya mtu mmoja mmoja.

“Hii Halmashauri ni yetu, tukishindwa kuiendeleza tutazomewa na wale tuliowashinda na katika uchaguzi ujao Wananchi hawatatuamini tena, mimi kama Meya wenu nitasimamia sheria na nitatoa ushirikiano kwa kila Diwani, niwaombe tujenge ushirikiano baina ya madiwani , watumishi wa Halmashauri, Wakuu wa Idara pamoja na Wananchi ambapo kwa kufanya hivyo tutaleta chachu ya maendeleo” Amesema Mhe. Kihanga.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa