• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Morogoro Municipal Council
Morogoro Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Wakuu wa Divisheni na Watumishi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Divisheni
      • Rasilimaliwatu na Utawala
      • Miundombinu, Uendelezaji wa Vijijini na Mijini
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe
      • Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ugavi na Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Fedha na Uhasibu
      • Taka Ngumu na Usafishaji
      • Michezo, Sanaa na Utamaduni
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Mazingira
    • Miundombinu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoisha
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Waraka
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
  • Market
    • Market line 1
    • Maket line 2

DHAMIRA YA SERIKALI NI KUWALETEA WANANCHI MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.

Posted on: August 21st, 2018

Serikali ya awamu ya tano inayodhamira ya dhati kwa kuhakikisha wananchi wake wanakuwa na maisha bora ikiwa na pamoja ni kuwezesha kujiletea maendeleo yao kupitia Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA).

Mratibu wa Mpango huo nchini , Seraphia Mgembe alisema hayo juzi ( Augost 20, 2018) wakati wa ziara na ujumbe wake alipozungumza na wakazi wa Kata ya Kihonda , Manispaa ya Morogoro.

Alisema ,dhamira ya serikali kupitia MKURABITA ni kuwaletea neema wakazi wa Manispaa ya Morogoro kupitia viongozi wake kushirikiana na wa mpango huo kwa kufanikisha upimaji wa viwanja 1,080.

“ Ni dhamira ya Serikali  kutaka wananchi kuwa na maisha bora na kuwezesha kujiletea maendeleo kupitia mpango huu wa urasimishji” alisema Mgembe.

Alisema , wananchi walionufaika na urasimishaji wa ardhi kupitia mpango huo wanazo fursa za kuzitumia hati za umiliki wa ardhi kwa kujiletea maendeleo ikiwemo kujipatia mikopo kutoka taasisi za fedha.

Hata hivyo aliwasihi wananchi ambao walishapimiwa maeneo yao kupitia mpango huo kuchukua hati zao katika Mamlaka husika ili wazitumie katika kuchochea maendeleo miongoni mwao.

Mgembe alisema , Serikali kwa kuona umuhimu wa kuwawezesha wananchi imeanzisha dirisha moja la huduma kwa wananchi katika ofisi za Manispaa ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za uwezeshaji kwa wananchi ili waondokane na umasikini.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Urasimishji Rasilimali Ardhi na Biashara, Japhet Werema alisema kuwa, Mpango huo unazijengea uwezo halmashuri ili ziweze kushiriki katika urasimishaji wa Ardhi mijini na vijijini.

Kwa upande wake , Mpima  Ardhi wa Halmashuri ya Manispaa ya Morogoro , Saimon Seja alisema kuwa hadi sasa jumla ya viwanja 558 katika mtaa wa Tuelewane vimekwishapimwa, 264 Mtaa wa Kihonda “B” na Folcal Land viwanja 258 na hivyo kufanya jumla ya viwanja vyote kufikia 1,080.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI February 19, 2025
  • FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA UBIA(PPP) February 18, 2025
  • ZABUNI YA UPANGISHAJI ENEO LA ROCK GARDEN MANISPAA YA MOROGORO August 16, 2022
  • MAPOKEZI YA HELA ZA OC KWA MWEZI JULAI 2022 KIASI CHA TSH 8,714,000.00 August 10, 2022
  • Angalia Yote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NA WATUMISHI MANISPAA YA MOROGORO WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO HALMASHAURI YA JIJI TANGA

    April 26, 2025
  • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA MOROGORO YATAKA KASI VITA DHIDI YA MAAMBUKIZI MAPYA.

    April 17, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU MANISPAA YA MOROGORO YARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO.

    April 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU KITAIFA WAZINDUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 1.8.

    April 12, 2025
  • Angalia Yote

Video

MEYA KIHANGA AKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI ZAIDI YA 1600 WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Leseni za Biashara
  • Sheria Ndogo za Manispaa ya Morogoro
  • Sisi ni Nani

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Tamisemi
  • Morogoro Modern Market system (outside)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Morogoro Modern Market System (LAN Network)
  • Tovuti Rasmi ya Ikulu
  • Tovuti ya RAS Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro

    Anuani: 166 morogoro

    Simu: 0232614727

    Simu: 0734-039300

    Baruapepe : info@morogoromc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manisaa ya Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa